Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Acha wife akapige kazi,hakuna mbali,kila sehemu inafikika kwa usafiri,ndio maisha ya kisasa,mtakuwa mnakutana wakati wa likizo.
Kwa kuwa kasema ni kazi nzuri then inaweza kugharamia nauli za hapa na pale.
 
Sasa ukimzuia akabaki, kesho wewe umekufa, nani ataendelea kutunza huyo mtoto km atakuwa mama wa nyumbani?

Muache akafanye kazi, kugandamana hakuna maana yoyote.
Hii mambo ya kufanya maamuzi based on the thinking of Death inaguathiri sana wabongo.

Kufa ni kufa tu. Acha afanye maamuzi yanayofaa kwake leo kwanza then baadae.
 
mwisho kabisa,
mkeo akienda huko atachukua.miezi 6 tu akirudi atakua analoanisha godoro balaa😂😂😂
Vyakula vya wahaya vinatengeneza maji mengi sana mwilini
We jamaa umeamua kutufurahisha asubuhi ya leo😅😅
 
Kwanini ulimruhusu aombe kazi,hapo hakuna ndoa,akienda hesabu mtabaki kuwa wazazi
 
Mdogo wangu....
Ndugu yangu.....
Mwanaume mwenzangu....

Nisiwe mnafiki kwako.....huu ni mtihani mgumu kwa Wana ndoa na una asilimia mbili za kuushinda......kwa kifupi ndoa yako inaelekea shimoni......hiyo ni FITINA kubwa katika.....maamuzi yoyote utakayofanya katika hili ndoa yako haiwezi kuwa kama mwanzo........
 
Mdogo wangu....
Ndugu yangu.....
Mwanaume mwenzangu....

Nisiwe mnafiki kwako.....huu ni mtihani mgumu kwa Wana ndoa na una asilimia mbili za kuushinda......kwa kifupi ndoa yako inaelekea shimoni......hiyo ni FITINA kubwa katika.....maamuzi yoyote utakayofanya katika hili ndoa yako haiwezi kuwa kama mwanzo........
maamuzi yoyote utakayofanya katika hili ndoa yako haiwezi kuwa kama mwanzo........

Yaaani hapa ni yeyote! Huu ni mwanzo WA lawama nyingi Sana! Ukimruhusu Shida,usipomruhusu Shida! Hakuna tena maelewano hapa! Jiandae kisaikologia


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Jomba unaenda kugongewa mke macho huona karibu zaidi kuliko mbali kukufikiria wewe na huo umbali ndani ya hata wiki mbili upweke utamsumbua mwezi unaofatia tokea afike bukoba kuliwa rahisi , hapo vijana wataanza kumtania kidogo kidogo tena na bukoba na dar es salaam atajua huwezi enda kwa kushtukiza
 
Out of all the wishez, i wish you good bruhv!

Take it from me kama mkeo hakika unampenda usimuache akaenda huko Bukoba. Kama dhiki pambaneni nayo tu mkiwa pamoja Mungu atafanya wepesi ila usikubali utengano na mkeo sababu ya kazi.

Nakuhakikishia in 6 months time toka aondoke hakutakuwa na ndoa tena. Probability ya hilo kutokea ni 89%!
Hizo 11% nawaachia walimwengu...
Dah nyie jamaaa mna roho mbaya sana...yaani mwataka hiyo papuchi alagebyeye peke yake tuu....amuachie mke nae akaonje de libolo tofauti. Haya mambo ya kubania mwanamke ambaye amesoma kwenda kufanya kazi ni ujinga tuu. Kama hutaki haya mambo ya kuishi mbali mbali basi unaoa mwanamke wa form four B failure tuu.
 
maamuzi yoyote utakayofanya katika hili ndoa yako haiwezi kuwa kama mwanzo........

Yaaani hapa ni yeyote! Huu ni mwanzo WA lawama nyingi Sana! Ukimruhusu Shida,usipomruhusu Shida! Hakuna tena maelewano hapa! Jiandae kisaikologia


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ukifanikiwa kumzuia asiende balaa linaanzia hapo kuhusu mahitaji yake....hata yale ambayo alikuwa anavumilia ukimnyima atayahitaji Tena kwa nguvu.......ukimruhusu aende ndio balaa zaidi....
 
Mm nimemzomesha bint angu had amepata taaluma nzur Kisha akaolewa dodoma alfu amepata Kaz katavi nzur ya taaluma yake alfu kijna wa mtu anamzuia aziende kufanya Kaz hapn aisee halikubaliki

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hapo ndugu yangu ukweli ni kuwa ili kusiwe na madhara yoyote na mabadiliko yoyote ya ndoa yenu. Sahizi mfungulie biashara hapohapo mjini na maisha yaendelee.

Ukimruhusu basi atatombwa tuu huko aendako hata kama sio malaya. Na hata usimkataza bila kumpa alternative nayo ataanza kugonjwa ili kupunguza hasira juu yako.

Bottom line usimruhusu kwenda huko, vijana watamkojoza na wewe hujawahi kumkojoza kama wataalamu wale wa nchi yenye rutuba nyingi, she will even forget that you ever existed.
 
Ndo maana wanaume wanawahi kufa, Unajiuliza utunze vp familia, Uushi vipi na mwanamke, Umchunge vipi mwanamke😁😁😁
 
Sasa ukimzuia akabaki, kesho wewe umekufa, nani ataendelea kutunza huyo mtoto km atakuwa mama wa nyumbani?

Muache akafanye kazi, kugandamana hakuna maana yoyote.
Kabisa maana kama mke akifa baba yeye anao uwezo wa kutunza watoto, swali ni he baba akitangulia mama atabakije au ndo kuwarudisha watoto nyuma na kuwafanya waishi maisha duni zaidi.
 
Maisha yamebadilika, anahtaji kuwasqidia wazazi na ndguze kama wewe ufanyavyo kwa wazazi wako na ndgu zake, anahtajika pia kwenye mambo ya kijamii sasa hapo utaweza vyote mkuu?
Asingeolewa, ili awe anafanya kazi anasapoti ndugu zake vzr bila bugudha.

MWANAMKE NI PAMBO LA NYUMBANI
rejea vitabu vya dini vya pande zote.
 
Huko Ofisi mpya bukoba anapoenda wafanyakazi wameshaambiwa Kuna demu mgeni anakuja majamaa yamejipanga kumpokea akifika tu kuna lijamaa litajidai linajua nyumba nzuri ilipo na atamuongezea hela ya kodi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom