Yani kiukweli iko ivi mwanamke sio kiumbe chakuachia huru na kuacha kijiongoze kama umeoa, ni lazima awe owned (wala sio kwa ubaya wala simaanishi kua hakiwezi kujiongoza) ila akili za mwanamke ziko complicated kuzielewa ila njia rahisi siku zote kwenye ndoa nikheri ukosee ukiwa umefanya maamuzi magumu yenye kujipendelea kwanza wewe na familia kuliko mepesi yenye democrasia ili uonekane unampenda mke na unapenda ajishughulishe.
(Najua upo katikati ya hutaki aondoke pia hutaki akulaumu kwanini unambana na kumkatalia kwenye vitu vya maendeleo) ila mwanamke yeye mwenyewe anaelewa kilakitu na vyote vitakavyotokea hakiwa hayupo apo sema tu anakupima akili yako na ukimpa ruksa ya kuondoka jua umeruhusu ndoa yako kufua taratiibu na amsure utakuja na uzi apa jamvini baada ya muda ya kueleza mambo yalokukuta baada yakumruhusu mke wako.
( Na ndo maana anataka pia aondoke na mtoto sababu roho ya mwanamke ni mwanae jua akishaondoka na mtoto kwake iyo ndo familia sio wewe) bro hataserikali inajua umuhimu wa mtu alie kwenye ndoa na mwenye familia kwa upande wa kazi ndo maana zipo haki zao kikatiba kama kutohamishwa au kuamishwa wote wakiwa pamoja na jiulize kwanini wake za viongozi hua hawaruhusiwi kua na kazi? Ukishajua ndo utatambua nin namanisha hapa.
Mwisho..
Mwanamke hawez kua owned marambili chunga sana ndugu yangu wanawake wanauwezo mkubwa wakufikiri kuliko sisi na wanatumia mdomo wao kama siraha umetaka kua mume basi elewa umekua kiongozi mojakwamoja na kama ni mume na unasitasita kusema HAPANA,SITAKI,HAIWEZEKANI, jua upo kwenye mtihani mkubwa.
......
Ulisema experience kwamim sitokuambua yangu ila kwa reference nakupa mbili tu katika nyingi moja kasome historia ya BIBI TITI NA MUME WAKE aliyemruhusu wakachukue kadi za chama cha mapinduzi na akamruhusu ashiriki kwenye harakati za kupigania uhuru mwisho wake ndoa yao ilishia wapi na bibi titi alimwambia nini mmewake.
Pia chukua ya ADAM na HAWA maybe zitakuasadia katika maamuzi yako.