Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Kama unajimudu, usimruhusu hata akilia Kwa machozi, Cha msingi fanya mpango asikae home kihasara fungus hata vimiradi hapo nyumbani afuge kuku, Bata, hata ng'ombe apate maziwa na Mayai ya kuuza
 
Nimepitia comment hapa naona mnamwambia et hata dar anaweza akachapiwa,, hapa naona mleta maada ameangalia ndoa yake kwa sababu mwanamke akienda huko mbali kunavitu mwanamke atavikosa ndo hapo sasa itabidi apate vya ziada hapo ndo picha litakapoanza

hata kama ni mtulivu kwa umbali huo atamegwa tu

cha kukushauli hilo la kushawishiwa na kumegwa lipo tudanganyane hakuna mwanamke mwenye msimamo kwa hili kulingana na madhingira sema anaweza akamegwa na asibadilike chochote na hapa mtamuita ana msimamo kumbe anamegwa kukidhi haja zake tu ila ndoa akaiheshim

na anaweza akamegwa abadilike tabia

Muache afanye kazi kama hofu yako ni kumegewa hilo weka100%
FB_IMG_16632605946477314.jpg
hivi ndivyo atakavyofanywa
 
Moja ya mistake utakuja kujuta Hadi unaingia kaburuni ni wewe kumruhusu mkeo akafanye KAZI mbali na wewe!


Usione watu tunakushauri Jua tumewahi kupigwa na kitu kizito. Tunajua what next kwako!


Narudia tena usimruhusu mkeo ahamie mkoa mwingine mbali na wewe.


Kama Una kichwa kigumu na ubishi mwingi mruhusu halafu baadae Tarajia yafuatayo;

1. Kutaka kuuana
2. Ndoa kuvunjika
3. Stress
4. Migogoro isiyokwisha


Kama uko tayari Kwa hayo matokeo mruhusu Ila kama hauko tayari Stop .
 
kusema kwamba ni malaya tu ndio wanaoliwa baasii wake za watu wanaofanya kazi mbali na wenzi wao karibia wote malaya, mkuu wanapigwa wake za watu dom mpaka mungu hapend....
Mimalaya hiyo hakuna jina linalowafaa.
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Kikubwa na cha msingi ifikirieni kesho yenu. Mmeshakuwa na mtoto/watoto means familia inaongezeka hivyo na mahitaji yanaongezeka pia.

Yeye kukaa nyumbani na kukutegemea kwa kila kitu, ilihali ana elimu na ujuzi fulani sio jambo lenye afya kwenu. Kumbuka kuna leo na kesho, jiulize ukiondoka leo hii duniani unaiacha familia katika hali gani ?

Muache akafanye kazi huko wakati unahangaika kufanya taratibu za kumuamisha kuja Dar au kumtafutia kazi sehemu nyingine.
 
Kikubwa na cha msingi ifikirieni kesho yenu. Mmeshakuwa na mtoto/watoto means familia inaongezeka hivyo na mahitaji yanaongezeka pia.

Yeye kukaa nyumbani na kukutegemea kwa kila kitu, ilihali ana elimu na ujuzi fulani sio jambo lenye afya kwenu. Kumbuka kuna leo na kesho, jiulize ukiondoka leo hii duniani unaiacha familia katika hali gani ?

Muache akafanye kazi huko wakati unahangaika kufanya taratibu za kumuamisha kuja Dar au kumtafutia kazi sehemu nyingine.
Nakushukru Mkuu
 
Usimruhusu mkeo aondoke mkuu,unagongewa Sana nakwambia.

Binafsi nimeshashuhudia visa vingi Sana vya watu wanaoishi mbali na wake zao kugongewa.
 
Moja ya mistake utakuja kujuta Hadi unaingia kaburuni ni wewe kumruhusu mkeo akafanye KAZI mbali na wewe!


Usione watu tunakushauri Jua tumewahi kupigwa na kitu kizito. Tunajua what next kwako!


Narudia tena usimruhusu mkeo ahamie mkoa mwingine mbali na wewe.


Kama Una kichwa kigumu na ubishi mwingi mruhusu halafu baadae Tarajia yafuatayo;

1. Kutaka kuuana
2. Ndoa kuvunjika
3. Stress
4. Migogoro isiyokwisha


Kama uko tayari Kwa hayo matokeo mruhusu Ila kama hauko tayari Stop .
huu ndio ukweli ila weng watapinga
 
Hawezi kuripoti kazini nakuomba japo miezi miwili aweke sawa mambo yake kumuhusu mtoto aende na mama huko aliko ajiriwa na huko amtafute msichana wakazi akae naye asubuhi hadi ijioni . Akisharudi huyo dada anarudi kwao au kwake .

Au aende na ndugu yake wakike kama anaye au ndugu yako wakike kama unaye akae na mtoto kwa kipindi yupo kazini mpaka mtoto atakapoachishwa nyonyo.

Au kama hujaajiriwa basi nenda naye kaa huko hadi apate msichana wakazi mwaminifu halafu ndio urudi.
Umeolewa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Out of all the wishez, i wish you good bruhv!

Take it from me kama mkeo hakika unampenda usimuache akaenda huko Bukoba. Kama dhiki pambaneni nayo tu mkiwa pamoja Mungu atafanya wepesi ila usikubali utengano na mkeo sababu ya kazi.

Nakuhakikishia in 6 months time toka aondoke hakutakuwa na ndoa tena. Probability ya hilo kutokea ni 89%!
Hizo 11% nawaachia walimwengu...
Wanaume wabinafsi nyie[emoji16]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Acha wife akapige kazi,hakuna mbali,kila sehemu inafikika kwa usafiri,ndio maisha ya kisasa,mtakuwa mnakutana wakati wa likizo.
 
Si kwamba siwezi manage, anapata kila kitu kwangu ni vile tu anapenda kufanya kazi, hataki zile za “subiri mume kaenda kutafuta”
Sasa ukimzuia akabaki, kesho wewe umekufa, nani ataendelea kutunza huyo mtoto km atakuwa mama wa nyumbani?

Muache akafanye kazi, kugandamana hakuna maana yoyote.
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Kwanza hongera kwa kupatka kazi Mkeo. Awamu ya tano ilivunja ndoto za watu wengi si wewe tu hata watoto wetu na wapwa zetu pia.

Jambo la kuzingatia ni kipato kitokanacho na hiyo kazi vs family interest.

Kuna wakati kazi si kipaumbele maana inaweza kuwa chanzo cha mgogoro kwenye ndoa iliyokuwa imara.

Dar to Kagera is very far labda ukubali uhamie huko huko na wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom