Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Banafsi naungamkono wanawake wapewe matunzo ya kutosha waache kuhangaika na kusaka kipato, watulie watunzwe
Sasa kama hivyo tunawasomesha wa nini? Acheni zenu bwana suluhisho ni simple tuu, mwanaume aoe wanawake wengi. Yule anayetaka kwenda kupiga kazi mbali akapige tuu hawa wengine watamsaidia
 
Sasa kama hivyo tunawasomesha wa nini? Acheni zenu bwana suluhisho ni simple tuu, mwanaume aoe wanawake wengi. Yule anayetaka kwenda kupiga kazi mbali akapige tuu hawa wengine watamsaidia
Una uzoefu na ndoa za wake wengi? Zina amani? Je wanaume wa sasa wanazo nguvu za kutosheleza wake wengi? Mazingira ya kizazi hiki yanaruhusu kumili ke wengi? Wanawake wenyewe wanakubali kuongezewa mke mwenza?
 
Ndugu yangu hali nayopitia ni hayo mambo,mke analiwa dodoma kmmke.

Usije jaribu kumuacha aende.

Utaletewa hata gari kutoka kwa sponsor,utajua hujui ...
Kuna subaru nimeipasua vioo vyote hapa home kmmke.
Mkuu kwa huo ulimi wako lazima ulioa bila kustahili, mwanaume wa kweli hatukani hayo matusi aisee!!
 
🤝Hakika hilo likifanyika hakuna atakayeacha mume Dar aende bukoba
Unajua wanawake wengi sio malaya ni watulivu ila hujikuta wakifanya hivyo vitu sababu ya presha ya mazingira na kipato ila moyoni hawapendi hata sasa wakihudumiwa vizuri hulea watoto na kutulia
 
Unajua wanawake wengi sio malaya ni watulivu ila hujikuta wakifanya hivyo vitu sababu ya presha ya mazingira na kipato ila moyoni hawapendi hata sasa wakihudumiwa vizuri hulea watoto na kutulia
Wanatombwer wanawake wanahudumia vizuri....wee bwana nature ya binadamu ni kuwa na variety
 
Unajua wanawake wengi sio malaya ni watulivu ila hujikuta wakifanya hivyo vitu sababu ya presha ya mazingira na kipato ila moyoni hawapendi hata sasa wakihudumiwa vizuri hulea watoto na kutulia
Sasa umejua tatizo linapoanzia ndio maana mimi nasema kuliko akafanye uzinzi ili kapata pesa ya kujihudumia heri afanye kazi hata kama ni namanyere achilia mbali hiyo ya bukoba
 
Hamna mwanaume mbali kwa mkewe bwana...sema tuu uchumi mgumu. Sasa wee umeolewa na mzabzab unataka eti upate matunzo kama umeolewa na njemba inayopata mshahara mil 12
Ndio mjitahidi mpo mabahili sana 😂😂😂
 
Aisee wanawake wakibongo sasa mnaolewaje na mwanaume wa namna hiyo? Aise akili zenu fupi kweli kweli🤣🤣🤣🤣🤣
Si wanawake nao unakuta wanapenda ndoa kuolewa heshima,ndoa nyingi zinavunjika sababu ya pesa ndani haitolewi angalia familia za matajiri hakuna kelele
 
Mwanaume wa kibongo unakuta ana hela lakin familia inakula kwa tabu mke kachakaa ,anachojua wakila wali maharage Ndio matunzo na inatosha
Kabisa Dinazarde
Unataka mke asiende kufanya kazi lakini huyo mke umemchakaza hadi mwenyewe unamwona hakufai tena.

Ulimpenda sababu ulimkuta anakula vizuri, anavaa vizuri, anasuka nywele nzuri ukamwachisha kazi na humpatii hayo mtunzo sasa

Yaani umemchakaza hadi akikutana na ndugu zake wanampotea kwa kutokumjua sura tena

😏😏😏😏
 
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
Duh naona anguko la ndoa kwa ukaribu saana
 
Kabisa Dinazarde
Unataka mke asiende kufanya kazi lakini huyo mke umemchakaza hadi mwenyewe unamwona hakufai tena.

Ulimpenda sababu ulimkuta anakula vizuri, anavaa vizuri, anasuka nywele nzuri ukamwachisha kazi na humpatii hayo mtunzo sasa

Yaani umemchakaza hadi akikutana na ndugu zake wanampotea kwa kutokumjua sura tena

😏😏😏😏
Kweli kabisa wachache sana wanaojali wake zao vizuri,wengine kushinda bar kufurahisha marafiki hata kununua trei za mayai na maziwa kwa watoto hakuna
 
Ndugu yangu hali nayopitia ni hayo mambo,mke analiwa dodoma kmmke.

Usije jaribu kumuacha aende.

Utaletewa hata gari kutoka kwa sponsor,utajua hujui ...
Kuna subaru nimeipasua vioo vyote hapa home kmmke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si wanawake nao unakuta wanapenda ndoa kuolewa heshima,ndoa nyingi zinavunjika sababu ya pesa ndani haitolewi angalia familia za matajiri hakuna kelele
Sasa kama ndoa heshima sii na nyie muheshimu waome zenu.
Saula la hela kuwa chanzo cha migogoro kwenye ndoa hilo linajulikana muda tuu. Ila sasa mwanamke lazima uangalie na mume wako uwezo wake ukoje sioo u asking blood from stone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom