Mke wangu anatuma post za kunisimanga Facebook

Mke wangu anatuma post za kunisimanga Facebook

Hahaha utandawazi lazma ututie wazimu. Sasa mkeo anakusimanga fb na wewe unamsimanga jf. Ngoma droo sasa.
 
best, what if huyu ndugu anajistukia tu? hiyo message hapo aliyopost mbona kama iko very general?
hakuna kitu kigumu kama mahusiano na mtu anaetaka definition ya kila kitu unachoandika ama kusema. Wenzi wa hivyo ni bora wasiwe marafiki kwenye media manake mwisho wataanza kushambuliana hadharani
Naam Mkuu hapa ndoa ilishasepa. Mwanamke anayemuheshimu mumewe na ndoa yao kamwe hawezi kwenda FB kuandika upuuzi. Piga chini uangalie ustaarabu mwingine. Pole na kila la heri kwenye maamuzi yako.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nime enda facebook na kuandika hilo jina la mdau "david ndaiga" nimeona jinsi huyo mwanamke anavyopiga mawe.
 
Best labda hizo zenye masimango mhusika kaamua kuzipotezea ya hivyo kutoziweka hapa. Unachosema ni kweli wengine hawakawii kuanza kudhalilishana hadharani na kuwapa watu faida kwa mambo yasiyowahusu.

best, what if huyu ndugu anajistukia tu? hiyo message hapo aliyopost mbona kama iko very general?
hakuna kitu kigumu kama mahusiano na mtu anaetaka definition ya kila kitu unachoandika ama kusema. Wenzi wa hivyo ni bora wasiwe marafiki kwenye media manake mwisho wataanza kushambuliana hadharani
 
Very sad,amekuwa akiweka ujumbe wa ajabu ajabu kwenye wall yake ya Facebook, na sasa hii ndio profile picture yake.
Hii amenza kufanya kama miezi miwili na nusu nyuma, na mbaya zaidi ni kwamba yeye ni mlokole na amehama Kanisa letu lilotulea na kuhamia kwenye makanisa ya miujiza.




Yeye yuko very demanding, ukimwambia mshahara hautoshi, kwake ni maneno, nimejaribu kufungua biashara na yeye ndiyo msimamizi mkuu.Bado faida haionekani licha ya kuwa sichukui chochote toka kwenye biashara hizo.

Analalamila kisa eti kila mwezi namtumia mama kijijini laki 3, what is laki tatu by the way ni sawa na elfu kumi kwa siku.
ukimuelewesha haelewi, anataka mama yake nimtumie laki tano,mpaka sasa nahisi amegeuka kero na mzigo.

Sina mengi, ila namshukuru Mungu kwa yote.

10927928_359236227594237_347315041_n.jpg



Ndugu usimwage mtama kwenye kuku wengi! Haya mambo siyo ya kujadiliwa hadharani, unajidhalilisha wewe na patna wako......... Yasuluhishe ndani ya familia zenu.... kama ikishindikana angalia ustaarabu kwa kuachana kisheria... uendelee na maisha yako
 
sikia sote tunasali kwenye makanisa ya kiroho sio ayo ya miujiza ila Mungu akupe amani yakutenda hili,mcharaze vibaya kwa fimbo tu.atashtaki lazima akishtaki elezea tatizo lenu be a man
 
Piga chini,ndoa ni safari ndefu achana nae mapema,hapo yupo hivyo mkianza kuzeeka atakuaje..nasema piga chini,ni pm nikufundishe jinsi ya kuandika talaka na mchanganuo wake
 
Umpe mama yake laki tano?
Mama yako umpe ngapi?

Mwambie tu umeshaona anavyojilalamisha,
muulize kama kapata mwingine aanze.
 
Very sad,amekuwa akiweka ujumbe wa ajabu ajabu kwenye wall yake ya Facebook, na sasa hii ndio profile picture yake.
Hii amenza kufanya kama miezi miwili na nusu nyuma, na mbaya zaidi ni kwamba yeye ni mlokole na amehama Kanisa letu lilotulea na kuhamia kwenye makanisa ya miujiza.

Yeye yuko very demanding, ukimwambia mshahara hautoshi, kwake ni maneno, nimejaribu kufungua biashara na yeye ndiyo msimamizi mkuu.Bado faida haionekani licha ya kuwa sichukui chochote toka kwenye biashara hizo.

Analalamila kisa eti kila mwezi namtumia mama kijijini laki 3, what is laki tatu by the way ni sawa na elfu kumi kwa siku.
ukimuelewesha haelewi, anataka mama yake nimtumie laki tano,mpaka sasa nahisi amegeuka kero na mzigo.

Sina mengi, ila namshukuru Mungu kwa yote.

10927928_359236227594237_347315041_n.jpg

[/QUOT

umemuoa yeye au mama yake? mam yakes ana mumewe ? kumtunza mamake sio jukumu lako achakujipendekeza otherwise mamake naye aje umuoe. haya mambo haya ndo maana mi nilimbandua mama mkwe
 
Bado napata shida kuamini kama hizo posts zimeanza bure bure tu
 
Very sad,amekuwa akiweka ujumbe wa ajabu ajabu kwenye wall yake ya Facebook, na sasa hii ndio profile picture yake.
Hii amenza kufanya kama miezi miwili na nusu nyuma, na mbaya zaidi ni kwamba yeye ni mlokole na amehama Kanisa letu lilotulea na kuhamia kwenye makanisa ya miujiza.

Yeye yuko very demanding, ukimwambia mshahara hautoshi, kwake ni maneno, nimejaribu kufungua biashara na yeye ndiyo msimamizi mkuu.Bado faida haionekani licha ya kuwa sichukui chochote toka kwenye biashara hizo.

Analalamila kisa eti kila mwezi namtumia mama kijijini laki 3, what is laki tatu by the way ni sawa na elfu kumi kwa siku.
ukimuelewesha haelewi, anataka mama yake nimtumie laki tano,mpaka sasa nahisi amegeuka kero na mzigo.

Sina mengi, ila namshukuru Mungu kwa yote.


10927928_359236227594237_347315041_n.jpg

Ndugu yangu kumbuka yaliompata mbasha nawe usipokua makini yatakupata wachungaji matapeli na wapenda ngono wamevamia nyumba yako mkuu.jivue gamba mapema
 
nipo kwenye ndoa ila duuh huyu mwenzangu kiboko. Amri moja tu akate mguu huko makanisa ya kinabii na hesabu zote za biashara ziwekwe mezani. Fanya hivi kwa mda ili kumrekebisha ajue kwamba u can command her na asikuchukulie poa. Igiza kuchafukwa na roho hadi ajute.
 
Usimuachie Mungu tumia nafasi yako zungumza nae atakuelewa. Muulize hizo jumbe zinamuhusu nani atakuelewesha pia uliza ni kwa kisa gani anataka na mamake atumiwe laki tano kila mwezi. Mueleze kwanini ni wajibu wako kumtunza mamako huko kijijini na pia usiache kuhoji maendeleo ya biashara anayofanya. Haya yote ukiyafanyia kazi utapewa majibu na itakua umekata mzizi wa fitina. Mawasiliano ni jambo muhimu mno kwenye ndoa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom