WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,018
Hii mitandao ya kijamii inavuruga sana ndoa/mahusiano,wengi wanaitumia visivyo.
pole sana ndoa ni safari ndefu
Mkuu Elli nawe acha upole huo bwana! Yaani mtu anachukia mie kupeleka kwa mama huko Shambalai shs laki tatu halafu nimtumie ujumbe wa kumsifia? Aah wapi labda uniambie nimtumie ujumbe kuwa nimeongeza kiwango kuwa laki tano.
Very
sad,amekuwa akiweka ujumbe wa ajabu ajabu kwenye wall yake ya Facebook,
na sasa hii ndio profile picture yake.
Hii amenza kufanya kama miezi miwili na nusu nyuma, na mbaya zaidi ni
kwamba yeye ni mlokole na amehama Kanisa letu lilotulea na kuhamia
kwenye makanisa ya miujiza.
Yeye yuko very demanding, ukimwambia mshahara hautoshi, kwake ni maneno,
nimejaribu kufungua biashara na yeye ndiyo msimamizi mkuu.Bado faida
haionekani licha ya kuwa sichukui chochote toka kwenye biashara hizo.
Analalamila kisa eti kila mwezi namtumia mama kijijini laki 3, what is
laki tatu by the way ni sawa na elfu kumi kwa siku.
ukimuelewesha haelewi, anataka mama yake nimtumie laki tano,mpaka sasa
nahisi amegeuka kero na mzigo.
Sina mengi, ila namshukuru Mungu kwa yote.
![]()
kaanza kutanga na makanisa ya manabiiii .... mpuuzi huyo sasa mpige marufuku kwenda kwenye hayo makanisa au aache ndoa .. faida anapelekewa mchungaji .... kingine kama umnyanyasi anza sasa kumnyanyasa
huyu mwanamke yukoje? acheni kumshobokea coment zake za maudhi sana
mmmmmh.....ndoa yataka uvumilivu na maombi
she dont know ur value pole sana
peaneni space pata holiday safar itasaidia
jitahid sana kumuombea hilo pepo la roho ya kaksi uchoyo na pia haya makanisa ya miujiza hajitambui huyu
Tatizo la haya makanisa yetu kuna watu wanasahau hadi wajibu wao katika nyumba zao kama mama au baba mtu anachukua hadi school fees ya mtoto anapeleka kanisanu eti unatakiwa kutoa kitu kinachokugusa moyoni inawezekana huyo mkeo anapeleka pesa huko
Ni vyema kukaa nae chini na kuongea mwambie hii ni mara ya mwisho unahitaji abadalike na aone kipi ni bora kwake ndoa au kanisa
Maana democracy ikizidi mahali popote sio nzuri diktetaship itumike muda mwingine :angry:
Umejaribu kumuhakikishia kwamba kweli hizo laki 3 zinaenda kwa mama Kijijini??? Maana huenda akawa anahisi unatuma kwa Kimada na sio Mama.
tena udikiteta wa mjerumani aache ujinga huyu mwanamke