Mke wangu anatuma post za kunisimanga Facebook

Mke wangu anatuma post za kunisimanga Facebook

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
11,005
Reaction score
22,110
Very sad,amekuwa akiweka ujumbe wa ajabu ajabu kwenye wall yake ya Facebook, na sasa hii ndio profile picture yake.
Hii amenza kufanya kama miezi miwili na nusu nyuma, na mbaya zaidi ni kwamba yeye ni mlokole na amehama Kanisa letu lilotulea na kuhamia kwenye makanisa ya miujiza.

Yeye yuko very demanding, ukimwambia mshahara hautoshi, kwake ni maneno, nimejaribu kufungua biashara na yeye ndiyo msimamizi mkuu.Bado faida haionekani licha ya kuwa sichukui chochote toka kwenye biashara hizo.

Analalamila kisa eti kila mwezi namtumia mama kijijini laki 3, what is laki tatu by the way ni sawa na elfu kumi kwa siku.
ukimuelewesha haelewi, anataka mama yake nimtumie laki tano,mpaka sasa nahisi amegeuka kero na mzigo.

Sina mengi, ila namshukuru Mungu kwa yote.

10927928_359236227594237_347315041_n.jpg

 
kaanza kutanga na makanisa ya manabiiii .... mpuuzi huyo sasa mpige marufuku kwenda kwenye hayo makanisa au aache ndoa .. faida anapelekewa mchungaji .... kingine kama umnyanyasi anza sasa kumnyanyasa
 
Wewe mtumie ujumbe wa kumsifia halafu jaribu kumuonyesha kuwa unampa attention ndogo kwenye madai yake.
 
Mh pole sana, ndoa inahitaji uvumilivu. Kaa nae mueleze anakosea wapi, na kama alivyosema The Boss peaneni nafasi itasaidia
 
Last edited by a moderator:
Viol alikuja hapa akasema kuhusu makanisa ya miujiza watu walimsimanaga sana hapa, lakini huo ndo ukweli
 
Last edited by a moderator:
Hao ndo wanawake kijana hawapendani ni viumbe vya ajabu sana umeona wapi mke asiyejua umuhimu wa mama mkwe aisee hiyo roho mbaya inamsumbua alafu anajifanya msafi kiimani ningekuwa mm huyo mkeo nishampa likizo zamani aargh maanake wanawake wako wengi ntaacha ntaoa mwengine lkn Hakuna km mama na hakuna replace ya mama.

Usipoteze kulipa shukrani kwa mama ako. mm hapa nilipo sinaye tena shukuru ww unae mtunze unavoweza kwa nguvu zako zote na haswa ukiwa na uwezo. Na siku hizi hakuna wife material kuna wife rabbit material na majekejeke wao wanawaza pesaaa tuu, utu negative
 
Wewe mtumie ujumbe wa kumsifia halafu jaribu kumuonyesha kuwa unampa attention ndogo kwenye madai yake.

Mkuu Elli nawe acha upole huo bwana! Yaani mtu anachukia mie kupeleka kwa mama huko Shambalai shs laki tatu halafu nimtumie ujumbe wa kumsifia? Aah wapi labda uniambie nimtumie ujumbe kuwa nimeongeza kiwango kuwa laki tano.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom