tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
Lol! ndoa kazi mnapeana na mipasho hatari.. wajuzi wa ndoa watakushauri
Daaaah wanawake wengine bwana.me nikigundua mke wangu ameanza tangatanga na makanisa nampa notes haraka sana nishaona wanawake kibao wameachana na waume zao kwa makanisa hayo na kuishia kumlaumu mungu
Ushauri mwingine bhana ni kama tusi,
aliyekuambia mtoa mada alikuwa mwanamke ni nani?
Very sad,amekuwa akiweka ujumbe wa ajabu ajabu kwenye wall yake ya Facebook, na sasa hii ndio profile picture yake.
Hii amenza kufanya kama miezi miwili na nusu nyuma, na mbaya zaidi ni kwamba yeye ni mlokole na amehama Kanisa letu lilotulea na kuhamia kwenye makanisa ya miujiza.
Yeye yuko very demanding, ukimwambia mshahara hautoshi, kwake ni maneno, nimejaribu kufungua biashara na yeye ndiyo msimamizi mkuu.Bado faida haionekani licha ya kuwa sichukui chochote toka kwenye biashara hizo.
Analalamila kisa eti kila mwezi namtumia mama kijijini laki 3, what is laki tatu by the way ni sawa na elfu kumi kwa siku.
ukimuelewesha haelewi, anataka mama yake nimtumie laki tano,mpaka sasa nahisi amegeuka kero na mzigo.
Sina mengi, ila namshukuru Mungu kwa yote.
![]()
Promotion @ work mtoa mada chukua huyu miss chagga, fukuza huyu mwanamke hakufai.
Ha ha ha ha ha ha ha ha! Hii kiboko.Ushauri mwingine bhana ni kama tusi,
aliyekuambia mtoa mada alikuwa mwanamke ni nani?
Ha ha ha ha ha ha mbavu zangu miyeeee@shyland
Humphnicky unamtesa mama yako kijijini, unatumia laki tatu tu?
Ha ha ha ha nimecheka sana mwenzio , Loh......!!!Ushauri mwingine bhana ni kama tusi,
aliyekuambia mtoa mada alikuwa mwanamke ni nani?
Hahaha utandawazi lazma ututie wazimu. Sasa mkeo anakusimanga fb na wewe unamsimanga jf. Ngoma droo sasa.