Mke wangu anatuma post za kunisimanga Facebook

Mke wangu anatuma post za kunisimanga Facebook

kaanza kutanga na makanisa ya manabiiii .... mpuuzi huyo sasa mpige marufuku kwenda kwenye hayo makanisa au aache ndoa .. faida anapelekewa mchungaji .... kingine kama umnyanyasi anza sasa kumnyanyasa
wanawake wengi wanalawitiwa ki roho na haya makanisa ya miujiza.
 
Very sad,amekuwa akiweka ujumbe wa ajabu ajabu kwenye wall yake ya Facebook, na sasa hii ndio profile picture yake.
Hii amenza kufanya kama miezi miwili na nusu nyuma, na mbaya zaidi ni kwamba yeye ni mlokole na amehama Kanisa letu lilotulea na kuhamia kwenye makanisa ya miujiza.

Yeye yuko very demanding, ukimwambia mshahara hautoshi, kwake ni maneno, nimejaribu kufungua biashara na yeye ndiyo msimamizi mkuu.Bado faida haionekani licha ya kuwa sichukui chochote toka kwenye biashara hizo.

Analalamila kisa eti kila mwezi namtumia mama kijijini laki 3, what is laki tatu by the way ni sawa na elfu kumi kwa siku.
ukimuelewesha haelewi, anataka mama yake nimtumie laki tano,mpaka sasa nahisi amegeuka kero na mzigo.

Sina mengi, ila namshukuru Mungu kwa yote.

10927928_359236227594237_347315041_n.jpg


inategemea yeye unampa attention kiasi gani

anyway, kama mwanaume, nadhani wewe sio chaguo lake tena, kuna mkunandiko wa ukweli amekamilisha zoezi la kukuzidi kwa kila kitu, ndoa ni siri ya ndani, ikishatoka nje hiyo ni doa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
manoko zake huyu haya makanisa ya waumishi n shida....wanaombea mapepo usiku or yupo ofisini na mchungaji

ha ha ha ha wanakula mtaji na utamu pia ... uhuni huu mimi nimekataaa kabisa
 
polisi.JPG
Wee si Polisi?
Fanya kama ulivyomfanyia Lipumba juzi, tafuta whhel spanner na nyundo kisha apply maneno ya Pinda, APIGWE TU... mwenyewe atatia displini aiseee.
Ukiendelea kulialia JF mwisho wa siku atakuita mwanaume suruali.
 
Last edited by a moderator:
Hayo ni ya kweli au story za kutunga.kwavile umeamua kumtangaza kwenye jamii forums weka picha yake huyo mkeo.
 
Sijui kwanini naona kama habari haijamilika kutoa hukumu, mtoa mada bado kuna vitu havijawa bayana bhana.
 
kaanza kutanga na makanisa ya manabiiii .... mpuuzi huyo sasa mpige marufuku kwenda kwenye hayo makanisa au aache ndoa .. faida anapelekewa mchungaji .... kingine kama umnyanyasi anza sasa kumnyanyasa


Mkuu siyo rahisi hivyo, wakienda huko huwa wanakuwa addicted sana. Cha kufanya ni kumuacha tu akakue kwanza..
 
Naam Mkuu hapa ndoa ilishasepa. Mwanamke anayemuheshimu mumewe na ndoa yao kamwe hawezi kwenda FB kuandika upuuzi. Piga chini uangalie ustaarabu mwingine. Pole na kila la heri kwenye maamuzi yako.

inategemea yeye unampa attention kiasi gani

anyway, kama mwanaume, nadhani wewe sio chaguo lake tena, kuna mkunandiko wa ukweli amekamilisha zoezi la kukuzidi kwa kila kitu, ndoa ni siri ya ndani, ikishatoka nje hiyo ni doa
 
Back
Top Bottom