Mke wangu ananipa wakati mgumu

Mke wangu ananipa wakati mgumu

Aiseeee....

Alikwambia ukweli. Ila reaction yako imemuogopesha imebidi akwambie alikuwa anatania.

Ametoa/anatoa hiyo mimba.

Kama unaweza kuhimili msamehe. Ila ukae ukijua wanawake wengi tukisamehewa kosa la usaliti Huwa tunaona kama tumewashika na hamna la kutufanya. Ni mara chache mwanamke kusamehewa na kumuheshimu mumewe vile vile, narudia wapo ambao wakisamehewa wanabadilika kweli ila ni wachache.

Pole Kwa changamoto mkuu, lolote utaloamua angalia amani ya moyo wako zaidi na mustakabali wa maisha ya mtoto wenu.
Sikiliza huu ushauri hapa ila usiishi tena na huyo mwanamke.

Iwe giza, iwe nuru! Mwache aende... Umesikia?
 
Kuna mahali unafeli mpaka mkeo anatoka nje ,,,, ! Aidha humpi haki yake vizuri ! !!!!


Asikudanganye mtu, sisi wanaume ndio chanzo kikuu wenza wetu kuchepuka japo Kuna sababu chache Kama tamaa, Hali ya kiuchumi n.k
Boss, don't blame your gender kujustify maovu ya mwanamke. Hakuna mtu iliyokamilika vivyohivyo hakuna ndoa iliyokamilika, jua hata mwanaume kunavitu hukosa chamsingi ni uvumilivu. Kuchepuka ni choice, ukimtetea mwanamke kwa pointi hiyo hakika na kwambia vijana watazidi punguza kuoa. Maana it's not a point bali unashift blame. Maana hiyo point unachochea mwanamke achepuke sikumjulisha kuwa ni kosa vivyohivyo mwanaume akitumia hiyo pointi, basi ujue hamna ndoa itakayodumu kamwe.
 
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaniSiriyaNdani


Kut*mbewa ni lazima na hakuna haja ya kupaniki. Kama hukumkuta bikra si ina maana alishat*ombwa na mabaharia kabla yako. Sasa tatizo liko wapi? Mbona hukuumia wakati huo na unaumia sasa hivi wakati kitombo ni kile kile? Uliuliza hata body count yake kabla hujamuoa?

Mzabzab njoo huku kuna jamaa kapaniki kisa eti mkewe kepelekewa moto mpaka kushikishwa mimba

Hitimisho: Kama hukumkuta mkeo bikra basi huna haki ya kulalamika ukit*mbewa. Unakausha tu na maisha yanasonga...maana kusema kweli ulishat*mbewa tayari tena na wanaume zaidi ya 10 hapo kabla!
Siku wakikupigia uje na ID mpya na wewe
 
wee ushashindwa kulea mkeo kitendo chakumruhusu asafiri nakutafuta kazi kabisa hukohuko nikama vile umemruhusu kua (mama kakigawe Nisha kuchoka)kwahio mkuu hayo ndio matunda yakumruhusu mkeo kutafuta kazi. mabosi wanafanya yao huko.
Aisee, mke ameambiwa amuheshimu mumewe na mmewe ampende. Basi kama kuna mwanaume anaweza kucontrol vitendo au maamuzi ya mwanamke, mimi nipo pale nasubiri ushuhuda. Kulea mke na mke kutaka kufanya kazi ni vitu 2 tofauti. Mwanamke kasomeshwa wewe ni nani wa kumzimia ndoto zake au unafikiri binti yako utakuwa na amani akiachishwa kazi na mmewe. Afanye hivyo kwahiyari yake. Never mistaken respect with controlling, huviwezi na haiwezekani.
 
  • Thanks
Reactions: naa
Mke wao au sio. Inaelekea wewe ni gwiji eee. Sisi wamama tunatomber Sana tu, kusuguliwa hakuhitaji siku nzima ya 9 Disemba na Gwaride.

Hata toilet tu, kazi inafanyika Kwa dakika 7-8. Kutiwa ni kitu kinafanyika kiwiziwizi na mwanamke anaweza akainama tu na kazi ikafanyika ikaisha.

Wanaume wanaowaacha wake zao bila huduma muhimu kwanza wake hao huwadharau waume hao na ndio matokeo ya kutiwa.

Kingine ni kwamba wanawake hatupendi au niite hatuhitaji saaaana uwe romantic. Sometimes uwe Simba,uwe mkali, mwanaume unajifanya kila saa unanijali Sana kama mdoli hayupo anayependa... Kwa mfano mdg.....kama kweli harmonize alimlia Dii Frida hata kama Frida analiwa mke wa harmo Leo harmo hapaswi kubebishabebisha.

Nadhani miaka 5 ya ndoa kubebishana ni Kwa kias then mwanaume anapambana.

Mwanaume usimshobokee saaana Dem sio sawa. Be a man. Let her go.

Usinywe pombe Kwa sabab yake, kunywa kwa sababu zako.
Kwahii point nakuhakikishia msije laumu single mums. Yaani never, wewe siumeleta msimamo 2x mwanaume akiliweka akilini atafanya 10x na hapo ndio idea ya hit and run huzaliwa. Mwanamke kamwe usimfundishe mwanaume jinsi ya kukupenda, you better enjoy today maana in 5-7 yrs yatapungua hata akuone kinyaa. Everyman anatestosterone inaleta hamu ya kulalana tu ila baada ya muda, akikuona wewe hataumvulie chupi siku nzima hatashtuka maana humvuti hisia na kwa upendo oxytocin ambayo ni bonding hormone hushuka. Yaani never do that, wanawake wengi watakuwa na watoto ila hawana mume.
 
Mkuu si utulie kidogo ujibu kwa UMoja
Nadhan comment yako haikuwa inahitaji jibu. Ulielezea scenario yako mwanzo mpaka mwisho.

Mimi ndio nimekuwa na swali,kutoka kwenye hiyo comment yako. Na swali langu, limeangukia kwenye paragraph ya mwisho.
 
No, uliandika kwa urahisi sana, it's not easy hata kama anasema amuache leo(kitu ambacho hata mimi ningefanya), sio rahisi. Amepata pigo takatifu la kiakili hapo.
Solution ni kumuacha basi.
Hakuna asoyajua maumivu, Na maumivu anayajua wapi panauma zaid mwenye yamempata.
Hapo hakuna zaid ya kumwambia abaki huko huko kwao tofauti na hivo atakua anajitafutia matatizo makubwa na mwisho siku ndo yale kuuana.
Wanawake wanaotaka kuolewa wengi sana na walotulia ya nin kujisumbua na mtoto wa mtu ety kisa so rahis
 
Aisee, mke ameambiwa amuheshimu mumewe na mmewe ampende. Basi kama kuna mwanaume anaweza kucontrol vitendo au maamuzi ya mwanamke, mimi nipo pale nasubiri ushuhuda. Kulea mke na mke kutaka kufanya kazi ni vitu 2 tofauti. Mwanamke kasomeshwa wewe ni nani wa kumzimia ndoto zake au unafikiri binti yako utakuwa na amani akiachishwa kazi na mmewe. Afanye hivyo kwahiyari yake. Never mistaken respect with controlling, huviwezi na haiwezekani.
yakitokea Kama hayo msilielie. mabos wakiwagongea
 
Daah aisee pole. Wangu aje aniambie ivy namuita nafanya nimemsamehe namla tigo namuacha
 
Mambo ya utani unayaleta huku
Utamu wa ndoa huo
 
Mambo ya utani unayaleta huku
Utamu wa ndoa huo
 
yakitokea Kama hayo msilielie. mabos wakiwagongea
Nikupe fact chief, kulia utalia tu maana hata ulipozaliwa watu walijua upo hai baada ya kulia. Yaani kwaujumla umeweka energy kubwa kwenye ngono kuliko hata ndoa/familia. Kwako wewe unawaza kugongewa na kugonga ila si familia/ndoa. Wewe ni mwanaume, chagua naoa au sioi, huwezi kuwa neutral maana utaingia pabaya. Ila kama ngono ndio itanifanya nioe basi mimi ni mjinga kama mbwa tu. Vijana akiongelea ndoa huwaza ngono tu, yakianza ya ndoa utajiuliza kwanini ulioa maana wewe ulipigia mahesabu ngono tu. Hivi unajua kuna kipindi utsmkinai hata huyo mkewe, jipange boss.
 
Hapo hakuna utani mkuu ni ukweli,hakuna utani wa kulia ..we endelea kufanya mambo yako huma mke hapo
 
Wewe ni bwege, mke kabisa anapata wapi nguvu za kukutania kuwa katombwa mara 3?? Huo sio utani Bali Kuna message umefikishiwa hata Kama Hana hiyo mimba
 
Kuna mahali unafeli mpaka mkeo anatoka nje ,,,, ! Aidha humpi haki yake vizuri ! !!!!


Asikudanganye mtu, sisi wanaume ndio chanzo kikuu wenza wetu kuchepuka japo Kuna sababu chache Kama tamaa, Hali ya kiuchumi n.k
Acha ujinga, kwahiyo kabla hajamuoa huko nyuma huyo mwanamke alitembea na wanaume wangapi? Yani kila usaliti wa Mwanamke ni lazima usababishwe na mwanaume?

Huyo alioa malaya tu, na hawezi kufugik hata siku moja.

Hii comment yako ulitaka kupata sifa kutoka kwa wanawake, ila inakuonyesha jinsi ulivyo BETA male, Simp &Cucks (Mtu wa kusijudia wanawake)
 
Kuna mahali unafeli mpaka mkeo anatoka nje ,,,, ! Aidha humpi haki yake vizuri ! !!!!


Asikudanganye mtu, sisi wanaume ndio chanzo kikuu wenza wetu kuchepuka japo Kuna sababu chache Kama tamaa, Hali ya kiuchumi n.k
Umeoa? Kama ndiyo bado hujawajua wanawake.. kama bado hujaoa.. subiri uingie kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom