muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,047
- 1,473
Yaani hapo kutombewa mpaka unabeba mimba sio shughuli ya kitoto, inamaana alishafanya mke wa mtu. Ingekuwa mm ningefunga safari ya kimya mpaka alipo, namchukua na kwenda kupima, nikikuta anayo namchukua nampeleka kwa wazazi wake, namkabidhi na safari imeishia hapo. Naanza maisha mengine mapya na mtoto wangu baada ya mwaka mmoja ntakuwa nimeshapata mke mwingine mwenye akili na sio kugawa uroda ovyo



