Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,601
- 8,687
Acha ufalaKuna mahali unafeli mpaka mkeo anatoka nje ,,,, ! Aidha humpi haki yake vizuri ! !!!!
Asikudanganye mtu, sisi wanaume ndio chanzo kikuu wenza wetu kuchepuka japo Kuna sababu chache Kama tamaa, Hali ya kiuchumi n.k
️ ina tangawizi mnoo


