markbusega
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 826
- 850
naona unavyochochea kuni. utamuua kwa preshaHakutanii hata D siyo wako
Sasa utafanya nini, vumilia tu
naona unavyochochea kuni. utamuua kwa preshaHakutanii hata D siyo wako
Sasa utafanya nini, vumilia tu
Usihurumie mtu.analia sana ananiomba nimsamehe
We mdada upo vizuri sana kichwani, yaani ipo hivi hiyo mwanamke nafsi inamsuta sasa akataka kumpima jamaa kupitia mimba ya mtu mwingine ili aone reaction ya jamaa siku kama akijua ata huyo dogo D sio mwanae, ila demu alishajipanga kwa lolote ishu ni kumpiga chini ata huyo mtoto na uhakika 98% sio wake.Hakutanii hata D siyo wako
Sasa utafanya nini, vumilia tu
Kwanini atoe mimba aue? Kama meshaamu kuzini mpk kubeba mimba ni aheri tuu ukubali hakua ubavu wako, na kama unaona huwezi kumuacha basi ishi naye lakini usiue kiumbe kilichopo tumboni. Uwalee wote mama na mtotoNawaza uyo mwanamke wa kupiga simu kabla hajatoa mimba anapatikana wilaya gani apa Afrika mashariki?
Umeongea ukweli mtupu mwanawane.#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaniSiriyaNdani
Kut*mbewa ni lazima na hakuna haja ya kupaniki. Kama hukumkuta bikra si ina maana alishat*ombwa na mabaharia kabla yako. Sasa tatizo liko wapi? Mbona hukuumia wakati huo na unaumia sasa hivi wakati kitombo ni kile kile? Uliuliza hata body count yake kabla hujamuoa?
Mzabzab njoo huku kuna jamaa kapaniki kisa eti mkewe kepelekewa moto mpaka kushikishwa mimba
Hitimisho: Kama hukumkuta mkeo bikra basi huna haki ya kulalamika ukit*mbewa. Unakausha tu na maisha yanasonga!
Fanya haraka kimbia alipo ukampime mkojo ili hata ukimsamehe uwe na uhakika asije jidai alikutania wakati labda ilinasa kweli.Nilijikaza nimefupisha tu maelezo ila mwanzo alikua serious hana tabia yakuigiza kulia aliyemshauri aniambie ni utani kanipa wakati mgumu yani hata akipiga sim mwili unaishiwa nguvu
Pole sana, thibitisha kwanza kama ni kweli alikuwa pg au kama kaitoa, ikiwa ni kweli,fanya maamuzi ya kusamehe/kutomsamehe,kulingana na utakavyoona inafaa.Bila salamu,
Ndugu zangu mimi ni mwenyeji umu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea ivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mnauzoefu nayo.
Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takribani miaka mitano sasa na tunae mtoto mmoja wa miaka mitatu tulikua tunaishi kwa furaha na amani apo nyuma sasa siku za karibuni mambo yakaanza kuvurugika ugomvi ugomvi hauishi ubishani haukauki ndani, kuna muda naona ni mambo ya kawaida ndo ubinadamu wenyewe kukwaruzana ni mambo ya kawaida.
Niende kwenye mada, Miezi kama mitatu nyuma mke wangu alienda kwao mkoa mwingine kuna mambo alienda kufatilia uko yakifamilia na kazi, sasa kipindi cha mwanzo hali ilikua shwari tunawasiliana vizuri badae mambo yakaanza kubadilika ugomvi kwenye simu unamwambia ili yeye anafanya lingine nilijikazana sana sasa juzi nikaona niongee nae vizuri mke wangu tujue shida nini tujenge palipobomoka.
Ila kiukweli uyu mwenzangu hakuwa na amani sana ongea yake ilikua kinyonge sana na kuna siku za karibuni nilikua nakasirika hadi natishia kumuacha ila likua anasema sawa tu niache.
Ilikua asubuhi siku hiyo naongea naye kiustaarabu kabisa kuwa anashida gani mara gafla akaanza kulia kwenye simu ananambia kuna jambo anatamani kuniambia ila anahofia litaleta madhara basi nikaanza kumbembeleza pale bora aseme tu ni jambo gani tujue tunafanyaje, hapo roho ipo juu juu navuta picha mambo mbali mbali hayaji akilini baadae akaamua kusema kinachomsibu akanambia “baba D nina mimba"
Sikuwaza chochote kibaya nikamuuliza tu sasa kwanini hukunambia muda wote na hiyo mimba ina muda gani? Akanijibu kuwa inakaribia mwezi sio yako.
Alooo! Nyie watu kumbe kuna mambo yanauma ivi nilihisi kama nimetobolewa moyo na kitu cha baridi niliishiwa nguvu masikio yalikua kama yameziba, namsikia kwa mbali analia sana ananiomba nimsamehe na anampango wakuitoa tu nikamuuliza mmekutana mara ngapi na uyo mtu akanambia mara 3
Nilikata simu kwakweli nikatulia kama nusu saa nafikiria jinsi alivyokuwa akigegedwa mke wangu yani nilikua nasikia hadi sauti za mahaba kichwani ndugu zangu haya mambo kumbe ndo yanauma hivi.
Nilipiga sana simu ilikua inatumika kama dakika 20 hivi alionesha yupo busy kuna mtu kama wanajadiliana, badae akapiga simu mwenyewe yani simple eti baba D nilikua nakutania tu nijue msimamo wako.
Sijawasilina nae mpaka leo hii namuonea huruma sana mwanangu sijui nafanyaje ila nina homa mwili hauna nguvu, yani kwa maelezo yale naona hakuna utani ni tukio lipo na huenda wamejadiliana na uyo malaya mwenzake watoe mimba.
Inauma aise mke wangu kachakatwa, hapo sidhani kama kuna utani nishaurini nifanye nn sijamtafuta hadi saizi na leo naenda kunywa pombe kwa mara ya kwanza.
Ukweli mtupu hakuna utunzi.
Wakati huo wewe unawaza Mkeo anasotea kuomba Msamaha kumbe jamaa ndio anapalilia Mimba yake vizur maana watakuwa na muda wa kutodha kuweza kukutana mara kwa mara.Kama anataka kumsamehe amuache kwanza, yaani ahakikishe huo msamaha huyo mwanamke kausotea haswaaa, maana itampa uoga kurudia tena hilo kosa. Lakini pia hii itampa na yeye mda wa kujitafakari je ataweza tena kuendelea nae baada ya huo usaliti!?
Nimependa huu ushauriAiseeee....
Alikwambia ukweli. Ila reaction yako imemuogopesha imebidi akwambie alikuwa anatania.
Ametoa/anatoa hiyo mimba.
Kama unaweza kuhimili msamehe. Ila ukae ukijua wanawake wengi tukisamehewa kosa la usaliti Huwa tunaona kama tumewashika na hamna la kutufanya. Ni mara chache mwanamke kusamehewa na kumuheshimu mumewe vile vile, narudia wapo ambao wakisamehewa wanabadilika kweli ila ni wachache.
Pole Kwa changamoto mkuu, lolote utaloamua angalia amani ya moyo wako zaidi na mustakabali wa maisha ya mtoto wenu.


Nawaza uyo mwanamke wa kupiga simu kabla hajatoa mimba anapatikana wilaya gani apa Afrika mashariki?

