Mke wangu ananipa wakati mgumu

Mke wangu ananipa wakati mgumu

Jaribu kufikiri hivi.

1. Angeweza kutoa bila kukujulisha na kamwe usingejua. Je ni kwanini akuambie halafu anaenda kuitoa?
2. Kama alikuwa ana kujaribu alikuwa ana test nini hasa. yaani alitaka kujua nini?

Nionavyo mimi mke wako yuko njia panda. Ana mtu ambaye kwa akili yake anaona ni sahihi zaidi kuliko wewe. Inawezekana hata huko kuondoka kwake ilikuwa ni namna ya kutafuta nafasi ainjoy na huyo mtu. hakuhitaji tena, yaani anataka kutengeneza mazingira muachane ila akusingizie kwamba wewe ndo ulimiacha wakati yeye alikuwa anatania.

Chakufanya.

1. Kaa zako kimya usimtafute wala usimtumie fedha za matumizi. Akikutafuta mwambie aendelee na maisha yake kwani na wewe unakaribia kuoa.

2. Kama kweli anakuhitaji.atarudi nyumbani kumaliza msala. Mdani ya wiki tu. Ukiona anakupotezea ujua ndo imetoka hiyo.

3. Kuanza upya si ujinga...

Ila hujasema.swala la hela, je una hela?
 
Nilijikaza nimefupisha tu maelezo ila mwanzo alikua serious hana tabia yakuigiza kulia aliyemshauri aniambie ni utani kanipa wakati mgumu yani hata akipiga sim mwili unaishiwa nguvu
Mzazi mwezako hawezi kufanya utani wa jambo km hilo. Hiyo ni kweli 100% wanawake ni wazuri sana kwa kuigiza.
Pole sana ndugu.
 
Hamna haja ya kumrudisha nyumbani, huyo akampime hukohuko alipo, akisibitisha anamalizana nae hukohuko!
Sahii kabisa,
Lengo lilitakiwa amshtukize kumpima gafla
Ili asije kujipanga akampiga changa la macho

ukweni hiyo itakua ngumu maana hawawez kushea choo kimoja Kama vile akiwa kwake.

Akiwa ukweni ataomba mkojo,
Mwanamke ataingia chooni atazuga zuga afu atapeleka mkojo wa mdg wake. Ukipima kitu haimo

Anachopaswa ni waingie wote chooni akojoe mkojo anauona ampatie ili aupime pale pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakishazibomoa ndoa zao kwa kiburi cha mchepuko ukosa vyote mume na mchepuko, kesho uenda kukanyaga mafuta kwa mtume wao, yule jamaa ni haki yake kula pesa.
Hakuna mchepuko mpumbavu atakaekubali kuchukua goma lililochezea ndoa yake, maana anajua kama jamaa kafanyiwa hivi Mimi ni nani nisijefanyiwa vile usepa kimyakimya. Mke wa mtu akishaachika na michepuko hula kona na kurudi kwa mme hawezi alilikoroga anaishia kuwa super single mothers mkosa pote. Halafu unakuta wanawake waliochwa kwa kuchezea ndoa zao huwa ndio washauri wazuri wa ndoa, SAsa wewe mbona uliichezea.

Yaani natamani ujumbe huu niulaminate niwawekee wanawake wote kwenye vyioo vyao vya kujitazamia, huwa wanaelewa baada ya kuachika. " Nyie KINAMAMA ukiichezea ndoa YAKO kwa kiburi cha mchepuko ukiachwa na mchepuko ula kona, nani abebe mzigo.
 
Pumbavu unakuwa kama juma lokole take action.
 
Ushauri tu ungefunga safar ya kushtukiza mpaka uko kwao mkononi umeshika UPT(kipimo cha mimba) ukifika tu bila maelezo unamchukua unampeleka gest unamsimamia akojoe then unapima Mkojo ukikuta Imo ujue umepigiwa


Akili kubwa hii
Nasema uongo ndugu zangu?
 
Halafu mtu akiua, unasikia wapumbavu wakisema wanaume wana roho mbaya...
 
Dah!!!!!huyo dada kazingua Sana tatizo wanawake bwana tunaendeshwa Sana na hisia,Sasa huyo aliyemjaza ndio kamuona wa maaaaana kumzidi mume aliyempenda na kujitoa hata kumuoa kabisa,yaani hisia zipo on duty kasahau kila kitu,,,,alikwambia makusudi ili uumie useme humtaki Tena ili aendelee na huyo father pregnancy,Sasa bahati mbaya father pregnancy kamgomea na kumpa huo ushauri wa kijinga eti nakutania,my friend hapo hakuna utani!.....Aisee hapo Sasa utaamua mwenyewe kuzika ama kusafirisha
 
Bila salamu,

Ndugu zangu mimi ni mwenyeji umu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea ivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mnauzoefu nayo.

Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takribani miaka mitano sasa na tunae mtoto mmoja wa miaka mitatu tulikua tunaishi kwa furaha na amani apo nyuma sasa siku za karibuni mambo yakaanza kuvurugika ugomvi ugomvi hauishi ubishani haukauki ndani, kuna muda naona ni mambo ya kawaida ndo ubinadamu wenyewe kukwaruzana ni mambo ya kawaida.

Niende kwenye mada, Miezi kama mitatu nyuma mke wangu alienda kwao mkoa mwingine kuna mambo alienda kufatilia uko yakifamilia na kazi, sasa kipindi cha mwanzo hali ilikua shwari tunawasiliana vizuri badae mambo yakaanza kubadilika ugomvi kwenye simu unamwambia ili yeye anafanya lingine nilijikazana sana sasa juzi nikaona niongee nae vizuri mke wangu tujue shida nini tujenge palipobomoka.

Ila kiukweli uyu mwenzangu hakuwa na amani sana ongea yake ilikua kinyonge sana na kuna siku za karibuni nilikua nakasirika hadi natishia kumuacha ila likua anasema sawa tu niache.

Ilikua asubuhi siku hiyo naongea naye kiustaarabu kabisa kuwa anashida gani mara gafla akaanza kulia kwenye simu ananambia kuna jambo anatamani kuniambia ila anahofia litaleta madhara basi nikaanza kumbembeleza pale bora aseme tu ni jambo gani tujue tunafanyaje, hapo roho ipo juu juu navuta picha mambo mbali mbali hayaji akilini baadae akaamua kusema kinachomsibu akanambia “baba D nina mimba"

Sikuwaza chochote kibaya nikamuuliza tu sasa kwanini hukunambia muda wote na hiyo mimba ina muda gani? Akanijibu kuwa inakaribia mwezi sio yako.

Alooo! Nyie watu kumbe kuna mambo yanauma ivi nilihisi kama nimetobolewa moyo na kitu cha baridi niliishiwa nguvu masikio yalikua kama yameziba, namsikia kwa mbali analia sana ananiomba nimsamehe na anampango wakuitoa tu nikamuuliza mmekutana mara ngapi na uyo mtu akanambia mara 3

Nilikata simu kwakweli nikatulia kama nusu saa nafikiria jinsi alivyokuwa akigegedwa mke wangu yani nilikua nasikia hadi sauti za mahaba kichwani ndugu zangu haya mambo kumbe ndo yanauma hivi.

Nilipiga sana simu ilikua inatumika kama dakika 20 hivi alionesha yupo busy kuna mtu kama wanajadiliana, badae akapiga simu mwenyewe yani simple eti baba D nilikua nakutania tu nijue msimamo wako.

Sijawasilina nae mpaka leo hii namuonea huruma sana mwanangu sijui nafanyaje ila nina homa mwili hauna nguvu, yani kwa maelezo yale naona hakuna utani ni tukio lipo na huenda wamejadiliana na uyo malaya mwenzake watoe mimba.

Inauma aise mke wangu kachakatwa, hapo sidhani kama kuna utani nishaurini nifanye nn sijamtafuta hadi saizi na leo naenda kunywa pombe kwa mara ya kwanza.

Ukweli mtupu hakuna utunzi.
Baba D, kwani wewe kufika huko alipo mke wako ni Sh ngapi?
Kama una Kifua nenda Hata kesho kisha nunua just UPT tu mcheki mimba! Kama alikuwa nayo Hata kama kaitoa upt itasoma positive. Baada ya hapo maamuzi utajua wewe mwenyewe!
 
Bila salamu,

Ndugu zangu mimi ni mwenyeji umu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea ivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mnauzoefu nayo.

Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takribani miaka mitano sasa na tunae mtoto mmoja wa miaka mitatu tulikua tunaishi kwa furaha na amani apo nyuma sasa siku za karibuni mambo yakaanza kuvurugika ugomvi ugomvi hauishi ubishani haukauki ndani, kuna muda naona ni mambo ya kawaida ndo ubinadamu wenyewe kukwaruzana ni mambo ya kawaida.

Niende kwenye mada, Miezi kama mitatu nyuma mke wangu alienda kwao mkoa mwingine kuna mambo alienda kufatilia uko yakifamilia na kazi, sasa kipindi cha mwanzo hali ilikua shwari tunawasiliana vizuri badae mambo yakaanza kubadilika ugomvi kwenye simu unamwambia ili yeye anafanya lingine nilijikazana sana sasa juzi nikaona niongee nae vizuri mke wangu tujue shida nini tujenge palipobomoka.

Ila kiukweli uyu mwenzangu hakuwa na amani sana ongea yake ilikua kinyonge sana na kuna siku za karibuni nilikua nakasirika hadi natishia kumuacha ila likua anasema sawa tu niache.

Ilikua asubuhi siku hiyo naongea naye kiustaarabu kabisa kuwa anashida gani mara gafla akaanza kulia kwenye simu ananambia kuna jambo anatamani kuniambia ila anahofia litaleta madhara basi nikaanza kumbembeleza pale bora aseme tu ni jambo gani tujue tunafanyaje, hapo roho ipo juu juu navuta picha mambo mbali mbali hayaji akilini baadae akaamua kusema kinachomsibu akanambia “baba D nina mimba"

Sikuwaza chochote kibaya nikamuuliza tu sasa kwanini hukunambia muda wote na hiyo mimba ina muda gani? Akanijibu kuwa inakaribia mwezi sio yako.

Alooo! Nyie watu kumbe kuna mambo yanauma ivi nilihisi kama nimetobolewa moyo na kitu cha baridi niliishiwa nguvu masikio yalikua kama yameziba, namsikia kwa mbali analia sana ananiomba nimsamehe na anampango wakuitoa tu nikamuuliza mmekutana mara ngapi na uyo mtu akanambia mara 3

Nilikata simu kwakweli nikatulia kama nusu saa nafikiria jinsi alivyokuwa akigegedwa mke wangu yani nilikua nasikia hadi sauti za mahaba kichwani ndugu zangu haya mambo kumbe ndo yanauma hivi.

Nilipiga sana simu ilikua inatumika kama dakika 20 hivi alionesha yupo busy kuna mtu kama wanajadiliana, badae akapiga simu mwenyewe yani simple eti baba D nilikua nakutania tu nijue msimamo wako.

Sijawasilina nae mpaka leo hii namuonea huruma sana mwanangu sijui nafanyaje ila nina homa mwili hauna nguvu, yani kwa maelezo yale naona hakuna utani ni tukio lipo na huenda wamejadiliana na uyo malaya mwenzake watoe mimba.

Inauma aise mke wangu kachakatwa, hapo sidhani kama kuna utani nishaurini nifanye nn sijamtafuta hadi saizi na leo naenda kunywa pombe kwa mara ya kwanza.

Ukweli mtupu hakuna utunzi.
Kunywa sumu ujifie.Unaambiwa kila siku Tanzania ni nchi ya ujamaa.Maana yake kila jambo litumike kama jumuiya.Yaani kuchangia.Usikonde.
 
Ngosha, uvumilie ili upate nini kwenye ndoa? Yaan uvumilie ujinga wa ndoa then upate nini baadae, yaani matunda ya kuvumilia ni nini hasa! Wewe kataa utapeli wa ndoa tu, haitakula,imu hata kuvumilia chochote.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Ulishawahi kuona mtu anapata medali ya kuvumilia ndoa. Nitavumilia shida e.g hali ngumu ya kiuchumi na ugonjwa lakini sio haya matatizo ya kujitakia.
 
Bila salamu,

Ndugu zangu mimi ni mwenyeji umu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea ivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mnauzoefu nayo.

Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takribani miaka mitano sasa na tunae mtoto mmoja wa miaka mitatu tulikua tunaishi kwa furaha na amani apo nyuma sasa siku za karibuni mambo yakaanza kuvurugika ugomvi ugomvi hauishi ubishani haukauki ndani, kuna muda naona ni mambo ya kawaida ndo ubinadamu wenyewe kukwaruzana ni mambo ya kawaida.

Niende kwenye mada, Miezi kama mitatu nyuma mke wangu alienda kwao mkoa mwingine kuna mambo alienda kufatilia uko yakifamilia na kazi, sasa kipindi cha mwanzo hali ilikua shwari tunawasiliana vizuri badae mambo yakaanza kubadilika ugomvi kwenye simu unamwambia ili yeye anafanya lingine nilijikazana sana sasa juzi nikaona niongee nae vizuri mke wangu tujue shida nini tujenge palipobomoka.

Ila kiukweli uyu mwenzangu hakuwa na amani sana ongea yake ilikua kinyonge sana na kuna siku za karibuni nilikua nakasirika hadi natishia kumuacha ila likua anasema sawa tu niache.

Ilikua asubuhi siku hiyo naongea naye kiustaarabu kabisa kuwa anashida gani mara gafla akaanza kulia kwenye simu ananambia kuna jambo anatamani kuniambia ila anahofia litaleta madhara basi nikaanza kumbembeleza pale bora aseme tu ni jambo gani tujue tunafanyaje, hapo roho ipo juu juu navuta picha mambo mbali mbali hayaji akilini baadae akaamua kusema kinachomsibu akanambia “baba D nina mimba"

Sikuwaza chochote kibaya nikamuuliza tu sasa kwanini hukunambia muda wote na hiyo mimba ina muda gani? Akanijibu kuwa inakaribia mwezi sio yako.

Alooo! Nyie watu kumbe kuna mambo yanauma ivi nilihisi kama nimetobolewa moyo na kitu cha baridi niliishiwa nguvu masikio yalikua kama yameziba, namsikia kwa mbali analia sana ananiomba nimsamehe na anampango wakuitoa tu nikamuuliza mmekutana mara ngapi na uyo mtu akanambia mara 3

Nilikata simu kwakweli nikatulia kama nusu saa nafikiria jinsi alivyokuwa akigegedwa mke wangu yani nilikua nasikia hadi sauti za mahaba kichwani ndugu zangu haya mambo kumbe ndo yanauma hivi.

Nilipiga sana simu ilikua inatumika kama dakika 20 hivi alionesha yupo busy kuna mtu kama wanajadiliana, badae akapiga simu mwenyewe yani simple eti baba D nilikua nakutania tu nijue msimamo wako.

Sijawasilina nae mpaka leo hii namuonea huruma sana mwanangu sijui nafanyaje ila nina homa mwili hauna nguvu, yani kwa maelezo yale naona hakuna utani ni tukio lipo na huenda wamejadiliana na uyo malaya mwenzake watoe mimba.

Inauma aise mke wangu kachakatwa, hapo sidhani kama kuna utani nishaurini nifanye nn sijamtafuta hadi saizi na leo naenda kunywa pombe kwa mara ya kwanza.

Ukweli mtupu hakuna utunzi.
...ebu wangu nikomae naye tu kumbe yake ya kawaida tu, ahsante bro!
 
Back
Top Bottom