Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
The way unavyokuwa unajiskia, huwezi elezea. Stress za mapenzi ni level nyingineHaya mambo we yasikie tu
The way unavyokuwa unajiskia, huwezi elezea. Stress za mapenzi ni level nyingineHaya mambo we yasikie tu
Unaweza kuwa na pesa na mwili mkubwa lakini ukalia sababu ya mapenzi, ila muda tu ndo unatibu.The way unavyokuwa unajiskia, huwezi elezea. Stress za mapenzi ni level nyingine
Kuna jamaa yangu alishindwaga kutembea. Haya mambo we acha tuUnaweza kuwa na pesa na mwili mkubwa lakini ukalia sababu ya mapenzi, ila muda tu ndo unatibu.
Hawaelewi sijui kwanini?
Kumkuta mkeo sio mwana mwali sio tiketi ya yeye kufanya uzinzi.......#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#KuchapiwaniSiriyaNdani
Kut*mbewa ni lazima na hakuna haja ya kupaniki. Kama hukumkuta bikra si ina maana alishat*ombwa na mabaharia kabla yako. Sasa tatizo liko wapi? Mbona hukuumia wakati huo na unaumia sasa hivi wakati kitombo ni kile kile? Uliuliza hata body count yake kabla hujamuoa?
Mzabzab njoo huku kuna jamaa kapaniki kisa eti mkewe kepelekewa moto mpaka kushikishwa mimba
Hitimisho: Kama hukumkuta mkeo bikra basi huna haki ya kulalamika ukit*mbewa. Unakausha tu na maisha yanasonga...maana kusema kweli ulishat*mbewa tayari tena na wanaume zaidi ya 10 hapo kabla!
Ila jamaa username yake, Eti jusikafiri😁😁😁Jusikafili huyo ni wa kumuacha tu
Mkuu hiyo house of cards 1& 2 umeipigia promo kidizaini sana😂Mjusi Kafiri pole sana, ukimaliza kunywa jaribu ku download series inaitwa House of Cards 1&2 ni ya Muda kidogo. utakachokutana nacho humo ndio ushauri wangu kwako ndugu yangu
Mkuu hiyo house of cards 1& 2 umeipigia promo kidizaini sana😂
Oyaaa Punguza ukali wa mineno, noma sana hiyoKiburi ,jeuri , Magonvi yatokanayo na Mwanamke mwenye Mume /Mpenzi ..Mara nyingi sana ikiwa wee Mume uko poa tu.
Basi ujue hayo yanatokana na yeye kua na Bwana .
Kwa maelezo hayo yako.
1-Ulishatombewa sanaaaaaaa tu mpaka akabeba mimba , yaan sanaaaaaaa .
( Kuna mambo Wanawake Huwa hawana gut ya kusema, mpaka pale mwenyewe aone anakukosea ,Nawewe ni mwema kwake, so anaamua kukiri).
Ulikoswa sana kuanza kumuuliza, umetombwa Mara ngapi, point yako ilikua nn?? Mtombaji Yuko hukohuko na mkeo, na ataendelea kumtomba ...na hizo dakika ishirin alikua anaongea na mtombaji wake, na mtombaji aoamshauri akuzuge Ivo !!
Unaweza kumuacha??? Vunja Ndoa ,OA mwanamke wa Nyumbani.
Huwez kumuacha, basi endelea kumpenda Mke wenu.
Hamna haja ya kumrudisha nyumbani, huyo akampime hukohuko alipo, akisibitisha anamalizana nae hukohuko!Cha kwanza nenda kamchomoe uko kwa wazazi wake mrudishe kwako afu haraka Sana mpeleke hospital unayoiamini au nunua kipimo kapimwe mimba.
Mimba hata Kama kaitoa Ina mwezi lazima TU akipima itaonekana bado imo.
Utakachokipata Rudi hapa tukushauri Cha kuamua
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimvunje moyo mwenzako ilibidi aje hapa kutafuta pa kupumulia.Sasa mwanamke kuliwa ndio kitu inakufanya unakuja uku mbiombio ukihema??
Ngosha, uvumilie ili upate nini kwenye ndoa? Yaan uvumilie ujinga wa ndoa then upate nini baadae, yaani matunda ya kuvumilia ni nini hasa! Wewe kataa utapeli wa ndoa tu, haitakula,imu hata kuvumilia chochote.Kwa hiyo ww ulipatikana guest chumba no 37 Maana inaonekana wazazi wako hawajakuelekeza kua ndoa ina changamoto zake ila uvumilivu ndo wa muhim
Shida yako umekariri kuoa na kuolewa tu, maisha ni zaidi ya huo ujinga wa ndoa uliokaririshwa.Usipo oa basi utaolewa.