Mke wangu ananipa wakati mgumu

Mke wangu ananipa wakati mgumu

Me mwenzako nilikuta anachati tu na mwanaume nikamfukuza akaenda kwao mwaka wa nne huu nakula zangu maisha ata simuwazi na amenyoka kwa sasa amekuwa mdogo kama piritoni na sina mda nae kabisa na simuwazi tena na niko na pisi kali nakula zangu maisha.ww mpaka kawekwa mimba bodo upo tu kweli wanaume tumebaki wa chache sana
 
Bila salamu,

Ndugu zangu mimi ni mwenyeji umu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea ivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mnauzoefu nayo.

Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takribani miaka mitano sasa na tunae mtoto mmoja wa miaka mitatu tulikua tunaishi kwa furaha na amani apo nyuma sasa siku za karibuni mambo yakaanza kuvurugika ugomvi ugomvi hauishi ubishani haukauki ndani, kuna muda naona ni mambo ya kawaida ndo ubinadamu wenyewe kukwaruzana ni mambo ya kawaida.

Niende kwenye mada, Miezi kama mitatu nyuma mke wangu alienda kwao mkoa mwingine kuna mambo alienda kufatilia uko yakifamilia na kazi, sasa kipindi cha mwanzo hali ilikua shwari tunawasiliana vizuri badae mambo yakaanza kubadilika ugomvi kwenye simu unamwambia ili yeye anafanya lingine nilijikazana sana sasa juzi nikaona niongee nae vizuri mke wangu tujue shida nini tujenge palipobomoka.

Ila kiukweli uyu mwenzangu hakuwa na amani sana ongea yake ilikua kinyonge sana na kuna siku za karibuni nilikua nakasirika hadi natishia kumuacha ila likua anasema sawa tu niache.

Ilikua asubuhi siku hiyo naongea naye kiustaarabu kabisa kuwa anashida gani mara gafla akaanza kulia kwenye simu ananambia kuna jambo anatamani kuniambia ila anahofia litaleta madhara basi nikaanza kumbembeleza pale bora aseme tu ni jambo gani tujue tunafanyaje, hapo roho ipo juu juu navuta picha mambo mbali mbali hayaji akilini baadae akaamua kusema kinachomsibu akanambia “baba D nina mimba"

Sikuwaza chochote kibaya nikamuuliza tu sasa kwanini hukunambia muda wote na hiyo mimba ina muda gani? Akanijibu kuwa inakaribia mwezi sio yako.

Alooo! Nyie watu kumbe kuna mambo yanauma ivi nilihisi kama nimetobolewa moyo na kitu cha baridi niliishiwa nguvu masikio yalikua kama yameziba, namsikia kwa mbali analia sana ananiomba nimsamehe na anampango wakuitoa tu nikamuuliza mmekutana mara ngapi na uyo mtu akanambia mara 3

Nilikata simu kwakweli nikatulia kama nusu saa nafikiria jinsi alivyokuwa akigegedwa mke wangu yani nilikua nasikia hadi sauti za mahaba kichwani ndugu zangu haya mambo kumbe ndo yanauma hivi.

Nilipiga sana simu ilikua inatumika kama dakika 20 hivi alionesha yupo busy kuna mtu kama wanajadiliana, badae akapiga simu mwenyewe yani simple eti baba D nilikua nakutania tu nijue msimamo wako.

Sijawasilina nae mpaka leo hii namuonea huruma sana mwanangu sijui nafanyaje ila nina homa mwili hauna nguvu, yani kwa maelezo yale naona hakuna utani ni tukio lipo na huenda wamejadiliana na uyo malaya mwenzake watoe mimba.

Inauma aise mke wangu kachakatwa, hapo sidhani kama kuna utani nishaurini nifanye nn sijamtafuta hadi saizi na leo naenda kunywa pombe kwa mara ya kwanza.

Ukweli mtupu hakuna utunzi.
Muache aendeee
 
Bila salamu,

Ndugu zangu mimi ni mwenyeji umu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea ivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mnauzoefu nayo.

Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takribani miaka mitano sasa na tunae mtoto mmoja wa miaka mitatu tulikua tunaishi kwa furaha na amani apo nyuma sasa siku za karibuni mambo yakaanza kuvurugika ugomvi ugomvi hauishi ubishani haukauki ndani, kuna muda naona ni mambo ya kawaida ndo ubinadamu wenyewe kukwaruzana ni mambo ya kawaida.

Niende kwenye mada, Miezi kama mitatu nyuma mke wangu alienda kwao mkoa mwingine kuna mambo alienda kufatilia uko yakifamilia na kazi, sasa kipindi cha mwanzo hali ilikua shwari tunawasiliana vizuri badae mambo yakaanza kubadilika ugomvi kwenye simu unamwambia ili yeye anafanya lingine nilijikazana sana sasa juzi nikaona niongee nae vizuri mke wangu tujue shida nini tujenge palipobomoka.

Ila kiukweli uyu mwenzangu hakuwa na amani sana ongea yake ilikua kinyonge sana na kuna siku za karibuni nilikua nakasirika hadi natishia kumuacha ila likua anasema sawa tu niache.

Ilikua asubuhi siku hiyo naongea naye kiustaarabu kabisa kuwa anashida gani mara gafla akaanza kulia kwenye simu ananambia kuna jambo anatamani kuniambia ila anahofia litaleta madhara basi nikaanza kumbembeleza pale bora Arsene tu ni jambo gani tujue tunafanyaje, hapo roho ipo juu juu navuta picha mambo mbali mbali hayaji akilini baadae akaamua kusema kinachomsibu akanambia “baba D nina mimba"

Sikuwaza chochote kibaya nikamuuliza tu sasa kwanini hukunambia muda wote na hiyo mimba ina muda gani? Akanijibu kuwa inakaribia mwezi sio yako.

Alooo! Nyie watu kumbe kuna mambo yanauma ivi nilihisi kama nimetobolewa moyo na kitu cha baridi niliishiwa nguvu masikio yalikua kama yameziba, namsikia kwa mbali analia sana ananiomba nimsamehe na anampango wakuitoa tu nikamuuliza mmekutana mara ngapi na uyo mtu akanambia mara 3

Nilikata simu kwakweli nikatulia kama nusu saa nafikiria jinsi alivyokuwa akigegedwa mke wangu yani nilikua nasikia hadi sauti za mahaba kichwani ndugu zangu haya mambo kumbe ndo yanauma hivi.

Nilipiga sana simu ilikua inatumika kama dakika 20 hivi alionesha yupo busy kuna mtu kama wanajadiliana, badae akapiga simu mwenyewe yani simple eti baba D nilikua nakutania tu nijue msimamo wako.

Sijawasilina nae mpaka leo hii namuonea huruma sana mwanangu sijui nafanyaje ila nina homa mwili hauna nguvu, yani kwa maelezo yale naona hakuna utani ni tukio lipo na huenda wamejadiliana na uyo malaya mwenzake watoe mimba.

Inauma aise mke wangu kachakatwa, hapo sidhani kama kuna utani nishaurini nifanye nn sijamtafuta hadi saizi na leo naenda kunywa pombe kwa mara ya kwanza.

Ukweli mtupu hakuna utunzi.
Nikuazime bastola kaka risasi utaweka 😁😁
 
Kuna muda unajipinda na kumuomba Mungu akupatie Mama bora wa watoto wako, siku unakuja kugundua Mama uliyemtafuta atakuja kuwa fedheha kwa watoto hapo baadae, basi hili linabaki kuwa kovu.
Just imagine unazaa na mtu na baadae anaamua kuzaa nje tena bila sababu ya msingi, hao wanao utawajibu nini? Kwanini baba aliamua kutuzaa kwa mama malaya? Wanawake muifahamu dunia, kwa misingi yetu hata ya kimila, hakuna kitu kibaya na kinachouma kama kuzaa nje ya ndoa, sio dhambi kuzaa na wanaume tofauti katika hali ya kufiwa au kuachika na mume muovu, kinyume chake ni fedheha kwa hao watoto, wanaweza wasikuulize ila mioyoni wanawaza mengi kuhusu mama yao.
 
Bila salamu,

Ndugu zangu mimi ni mwenyeji umu ila nimetumia ID hii ili nipate msaada kwa tukio lililotokea ivi siku za karibuni huenda kuna sehemu nafeli kama mwanaume au haya mambo ya maumivu ndugu zangu mnauzoefu nayo.

Nina mke wangu ambaye tupo kwenye ndoa takribani miaka mitano sasa na tunae mtoto mmoja wa miaka mitatu tulikua tunaishi kwa furaha na amani apo nyuma sasa siku za karibuni mambo yakaanza kuvurugika ugomvi ugomvi hauishi ubishani haukauki ndani, kuna muda naona ni mambo ya kawaida ndo ubinadamu wenyewe kukwaruzana ni mambo ya kawaida.

Niende kwenye mada, Miezi kama mitatu nyuma mke wangu alienda kwao mkoa mwingine kuna mambo alienda kufatilia uko yakifamilia na kazi, sasa kipindi cha mwanzo hali ilikua shwari tunawasiliana vizuri badae mambo yakaanza kubadilika ugomvi kwenye simu unamwambia ili yeye anafanya lingine nilijikazana sana sasa juzi nikaona niongee nae vizuri mke wangu tujue shida nini tujenge palipobomoka.

Ila kiukweli uyu mwenzangu hakuwa na amani sana ongea yake ilikua kinyonge sana na kuna siku za karibuni nilikua nakasirika hadi natishia kumuacha ila likua anasema sawa tu niache.

Ilikua asubuhi siku hiyo naongea naye kiustaarabu kabisa kuwa anashida gani mara gafla akaanza kulia kwenye simu ananambia kuna jambo anatamani kuniambia ila anahofia litaleta madhara basi nikaanza kumbembeleza pale bora aseme tu ni jambo gani tujue tunafanyaje, hapo roho ipo juu juu navuta picha mambo mbali mbali hayaji akilini baadae akaamua kusema kinachomsibu akanambia “baba D nina mimba"

Sikuwaza chochote kibaya nikamuuliza tu sasa kwanini hukunambia muda wote na hiyo mimba ina muda gani? Akanijibu kuwa inakaribia mwezi sio yako.

Alooo! Nyie watu kumbe kuna mambo yanauma ivi nilihisi kama nimetobolewa moyo na kitu cha baridi niliishiwa nguvu masikio yalikua kama yameziba, namsikia kwa mbali analia sana ananiomba nimsamehe na anampango wakuitoa tu nikamuuliza mmekutana mara ngapi na uyo mtu akanambia mara 3

Nilikata simu kwakweli nikatulia kama nusu saa nafikiria jinsi alivyokuwa akigegedwa mke wangu yani nilikua nasikia hadi sauti za mahaba kichwani ndugu zangu haya mambo kumbe ndo yanauma hivi.

Nilipiga sana simu ilikua inatumika kama dakika 20 hivi alionesha yupo busy kuna mtu kama wanajadiliana, badae akapiga simu mwenyewe yani simple eti baba D nilikua nakutania tu nijue msimamo wako.

Sijawasilina nae mpaka leo hii namuonea huruma sana mwanangu sijui nafanyaje ila nina homa mwili hauna nguvu, yani kwa maelezo yale naona hakuna utani ni tukio lipo na huenda wamejadiliana na uyo malaya mwenzake watoe mimba.

Inauma aise mke wangu kachakatwa, hapo sidhani kama kuna utani nishaurini nifanye nn sijamtafuta hadi saizi na leo naenda kunywa pombe kwa mara ya kwanza.

Ukweli mtupu hakuna utunzi.
Usisamehe upumbavu huo. Kumbuka wakati anachakatwa kuna muda mb** ilichomoka, then akairudishia ndani ya K huku akitoa miguno balaa.
Na kuna uwezekano pia jamaa alichakata na tigo. Maana si unajua mademu wa nje ndo huwa tunawachakata tigo? Na mkeo kwa jamaa huyo aliem mimba ni demu wa nje tu, wa kujaribishia ma fantansy yote ya ajabu ajabu.
Piga chini kima hiyo.
 
Hichi kizazi cha sasa ni kazi kwelikweli, maana katika jukwaa hili la MMU imeakua sio jambo la ajabu kukuta wanaume wakilalamika kuhusu wake zao au wapenzi wao na mambo ni yaleyale kusalitiwa,kutoswa kwa kuyumba kiuchumi(pesa) n.k.

Hii imepelekea hata wanaume wengi kukataa kuoa huku wakiishia kuwapa ujauzito wanawake na kujiongezea mikosi na athari mbali mbali katika maisha yao pamoja na mtoto atakayezaliwa. Lakini kwakua chanzo cha haya yote ni kutokana na mfumo feki wa maisha tunayoishi ambayo ni tofauti na utaratibu aliotupangia MUNGU.

Basi ndoa nyingi zitazidi kuyumba na kuvunjika na kupelekea mahusiano kuwa mabaya sio kwa wazazi tu bali pia watoto wao. Na migogoro mbalimbali yenye visa,chuki na vinyongo kwa wanandoa mpaka kupelekea kuuana kwa njia mbali mbali ambapo hili suala limekua likitokea mara nyingi sana siku za hivi karibuni. Hii dunia ya sasa imekua niyakushangaza sana.

Hivyo mkuu cha kukushauri nikwamba wew umesha mpenda mkeo kupitiliza hivyo si vibaya lakin ujue unasaini hati ya kifo chako mwenyewe. Sababu ukiona mwanaume yeyote yule amempenda na kumwelewa mwanamke kupitiliza jua anakaribia kufa. Hivyo hata maandiko matakatifu yanasema muishi nao kwa akili sababu wao wanaongozwa sana na hisia.
 
Mkuu mwanamke akisha kusaliti hatakuheshimu tena, narudia MWANAMKE AKISHAGEGEDWA NJE HATAKAA AKUHESHIMU TENA. Ushauri wangu, maisha yako na ya mwanao ni muhimu sana kuliko kuendelea kulea ndoa ambayo haitakua na furaha tena mwisho wa siku mje kuuana bure mmtese mtoto wenu.
 
Me mwenzako nilikuta anachati tu na mwanaume nikamfukuza akaenda kwao mwaka wa nne huu nakula zangu maisha ata simuwazi na amenyoka kwa sasa amekuwa mdogo kama piritoni na sina mda nae kabisa na simuwazi tena na niko na pisi kali nakula zangu maisha.ww mpaka kawekwa mimba bodo upo tu kweli wanaume tumebaki wa chache sana
Uliwaza kuhusu watoto?
 
1671451254742.png
1671451254742.png
 
Back
Top Bottom