Mke wangu anajamba sana, nini Tatizo?

Mke wangu anajamba sana, nini Tatizo?

Atakuwa na tatizo la kujaa gesi tumboni. Ila mwambie awe anajiheshimu tu. Kila mtu huwa anaachia mizinga hiyo ila unatakiwa kumaintain privacy.

Haya ndio matatizo ya kutofunzwa adabu na wazazi tokea utotoni. Mtu anatoa hewa chafu mbele ya mume wake au mke wake ili iwaje?!

Halafu ndio mnaita mapenzi ya kisasa hayo wakati ni kukosa adabu. Siku atajisaidia kitandani halafu utasema ni mapenzi. Upuuzi kabisa.

Ukibanwa na mahewa yako hayo unaenda chooni unayapuliza hadi yanaisha unatoka unarudi kukaa ulipokuwa. Au unaenda huko jalalani au kichochoroni unaachia halafu unarejea ndani.

Ukitaka mkeo au mumeo awe anakuona una mvuto muda wote jitahidi kuwa msafi kwa kadiri utavyoweza. Asisikie harufu mbaya kutoka mwilini mwako au mazingira yako.
[emoji1][emoji1] Kwamba wewe kila Ukitaka kujamba hua unaenda chooni sio?

Nakushauri ukimaliza kujamba uwe unaiosha kabisa Ile exhaust mkuu.
 
mnunulie nyama, samaki na mboga za majani, apunguze kula maharagwe.
 
Psychologically hili ni suala la upendo means kwamba ukiwa na mpenzi alafu ushuzi ukamjia akajibana jua hajiamini na hana upendo wa dhati nawe na yule ambaye ushushi unamjia na anajiachia pwaaaaaa!!! jua anajiamini na ana amini kuwa yupo mikono salama.

We jamaa bhn[emoji38][emoji38][emoji23]
 
Usikiapo au uonapo likitokea tetemeko la ardhi au milipuko volcano jua dunia inajibance kujamba kwamkeo ni afya kwamwili SUNA

Ukishindwa kabisa mtafute mchungaji Richie hananje atakupa mawazo

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Psychologically hili ni suala la upendo means kwamba ukiwa na mpenzi alafu ushuzi ukamjia akajibana jua hajiamini na hana upendo wa dhati nawe na yule ambaye ushushi unamjia na anajiachia pwaaaaaa!!! jua anajiamini na ana amini kuwa yupo mikono salama.
Kuna mwanamke sijui Japan au China alipelekwa hospital akiwa hali mbaya kisa tabia ya kuzuia ushuzi mbele ya mpenzi wake.
 
Kuna mwanamke sijui Japan au China alipelekwa hospital akiwa hali mbaya kisa tabia ya kuzuia ushuzi mbele ya mpenzi wake.
Ofcourse hii itakuwa kweli sana mkuu maana asipojiachia kwa mishuzi inayomjia stress na hofu lazima iwe juu ambayo ni mbaya kwa afya ya akili na moyo pia
 
Back
Top Bottom