Ernst kipire
JF-Expert Member
- Dec 16, 2019
- 299
- 310
NotedHakikisha hali marage huyo akila mishkaki choma na limao daily hajambi tena.
Hivo ni Hali ya kawaida?Sijui shida inakuaga nini mimi pia iliwai kunitokea iyo hali yani sio kawaida inakua imepitiliza hasa usiku nikilala ila sasaiv imepotea yenyewe tu bila kufanya kitu
Mkuu kujamba limesha kuwa kosa la kunyimana maharage [emoji23][emoji23][emoji23]Hakikisha hali marage huyo akila mishkaki choma na limao daily hajambi tena.
Sio kawaida ila ndo inatokea tu kijambo kinakuja kila mudahivo ni Hali ya kawaida?
Hilo siyo jibu la swali langu mkuu, heshimu watuHujakomaa kuwa kwenye ndoa
🤣🤣Mkuu kujamba limesha kuwa kosa la kunyimana maharage [emoji23][emoji23][emoji23]
Hili ni sehemu ya somo la ndoa?Psychologically hili ni suala la upendo means kwamba ukiwa na mpenzi alafu ushuzi ukamjia akajibana jua hajiamini na hana upendo wa dhati nawe na yule ambaye ushushi unamjia na anajiachia pwaaaaaa!!! jua anajiamini na ana amini kuwa yupo mikono salama.
Aucy, ahahhahah kumb htrPsychologically hili ni suala la upendo means kwamba ukiwa na mpenzi alafu ushuzi ukamjia akajibana jua hajiamini na hana upendo wa dhati nawe na yule ambaye ushushi unamjia na anajiachia pwaaaaaa!!! jua anajiamini na ana amini kuwa yupo mikono salama.
Umeongea pwenti mkuuMke wako ameshasema tumbo limechafuka sidhani kama kuna atakayejua exactly nn kinamsibu zaidi yake, labda daktari.
Ahsante, tutafanyia kazTumbo lake linajaa gesi ,aache kula vyakula vinavyosababisha yeye apaze gesi,ale matango ,matikitiki inakata gesi pia akiamka tu anywe glasi moja ya maji ya uvuguvu
Pia aende hospital akapimwe