Mke wangu anajamba sana, nini Tatizo?

Mke wangu anajamba sana, nini Tatizo?

Habari gani wana jamvi, naimani mu salama.

Leo nimekuja na mada yangu ambayo naomba majibu, kama nilivyoandika katika kichwa cha mada yangu.

Ukweli mke wangu anajamba sana, yaani mpaka muda mwingine nakuwa tu nacheka ili asiboeke. Jana ikabidi nimuulize, "Vipi mama unashida gani mbona unajamba sana?" Akaniambia hamna mi tumbo langu limechafuka sana.

Naomba anahisi nini tatizo aniambie.

Onyo: Majibu ya ustaarabu.

Naomba watu walio serious wajibu, ahsante.
Oyaaa wewe

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Inaweza kua pia dalili ya vidonda vya tumbo. Tumbo kujaa gesi mara kwa mara. Mimi pia nna tatizo hilo na maisha ya enda tu.
Usimfikirie vibaya kwa sababu ninyi ni mwili mmoja na unauhuru wa kuchunguza zaidi
 
Mara nyingi hii hali inatokea km mtu anakaa sana sehemu ya baridi (ofisi zenye AC kali) au kunywa vinywaji vya baridi au vyakula kujaza tumbo gas(chips+maharage).anapolala au kua sehemu iliotulia ndio gas hua inatoka...ushauri mwambie aangalie pia mzunguko wake wacku kuna vitu vinachangia hio hali.
 
Kesha fumuliwa marinda huyooo...aanze kuvaa pempasi asije kuhara kabisaa..
 
Back
Top Bottom