Mke wangu anajamba sana, nini Tatizo?

Mke wangu anajamba sana, nini Tatizo?

Atakuwa na tatizo la kujaa gesi tumboni. Ila mwambie awe anajiheshimu tu. Kila mtu huwa anaachia mizinga hiyo ila unatakiwa kumaintain privacy.

Haya ndio matatizo ya kutofunzwa adabu na wazazi tokea utotoni. Mtu anatoa hewa chafu mbele ya mume wake au mke wake ili iwaje?!

Halafu ndio mnaita mapenzi ya kisasa hayo wakati ni kukosa adabu. Siku atajisaidia kitandani halafu utasema ni mapenzi. Upuuzi kabisa.

Ukibanwa na mahewa yako hayo unaenda chooni unayapuliza hadi yanaisha unatoka unarudi kukaa ulipokuwa. Au unaenda huko jalalani au kichochoroni unaachia halafu unarejea ndani.

Ukitaka mkeo au mumeo awe anakuona una mvuto muda wote jitahidi kuwa msafi kwa kadiri utavyoweza. Asisikie harufu mbaya kutoka mwilini mwako au mazingira yako.
 
Gesi = nishati mbadala.
Serikali imesema wanajeshi na shuke wasipikie kuni lakini waanze kutumia nishati mbadala.
Huo n mtaji tosha
 
Habari gani wana jamvi, naimani mu salama.

Leo nimekuja na mada yangu ambayo naomba majibu, kama nilivyoandika katika kichwa cha mada yangu.

Ukweli mke wangu anajamba sana, yaani mpaka muda mwingine nakuwa tu nacheka ili asiboeke. Jana ikabidi nimuulize, "Vipi mama unashida gani mbona unajamba sana?" Akaniambia hamna mi tumbo langu limechafuka sana.

Naomba anahisi nini tatizo aniambie.

Onyo: Majibu ya ustaarabu.

Naomba watu walio serious wajibu, ahsante.
Alikua anaingiliwa kinyume na maumbile
 
Naomba anahisi nini tatizo aniambie.
Mkuu kitaalamu hio mara nyingi huwa ni dalili ya awali ya Ulcers (VIDONDA VYA TUMBO)...

Nashauri mpeleke Hospital akafanye hivyo vipimo vya (H. pylori) ili muweze kuwahi tiba endapo itathibitika anavyo...
 
Kwenye rangi nyekundu kunathibisha na kudhihirisha hujakomaa kiasi cha kuweza kuwa na mke.

Unashindwa kuvumilia kuandika neno kamili, unaandika vifupi, je utaweza kukaa na mke kweli. Ukikosa uvumilivu kwa vidogo huwezi kuvumilia vikubwa.

Hamna mtu mwenye mke mwenye tatizo akaja jukwaani kumdhalilisha mkewe.
Kama kweli mkeo ni mjambaji ungekuja kwa staha na kuuliza dawa ya kutibu tatizo hilo.
Huna mke wewe mwanafunzi, shule zimefungua, acha kutega shule
Aiseee 😀😀😀😀
 
Habari gani wana jamvi, naimani mu salama.

Leo nimekuja na mada yangu ambayo naomba majibu, kama nilivyoandika katika kichwa cha mada yangu.

Ukweli mke wangu anajamba sana, yaani mpaka muda mwingine nakuwa tu nacheka ili asiboeke. Jana ikabidi nimuulize, "Vipi mama unashida gani mbona unajamba sana?" Akaniambia hamna mi tumbo langu limechafuka sana.

Naomba anahisi nini tatizo aniambie.

Onyo: Majibu ya ustaarabu.

Naomba watu walio serious wajibu, ahsante.
Si wengine tunapenda hao wanaojamba jamba, wanatia mzuka
 
Back
Top Bottom