FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 871
- 1,084
Mhhhh, we jamaaHakikisha hali marage huyo akila mishkaki choma na limao daily hajambi tena.
Mhhhh, we jamaaHakikisha hali marage huyo akila mishkaki choma na limao daily hajambi tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Noted
Hutakiwi kumtilia shaka daktari wa vijambo. 😂Mkuu kujamba limesha kuwa kosa la kunyimana maharage [emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikuwa unajamba?Sijui shida inakuaga nini mimi pia iliwai kunitokea iyo hali yani sio kawaida inakua imepitiliza hasa usiku nikilala ila sasaiv imepotea yenyewe tu bila kufanya kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Weka video akiwa anajamba upewe muongozo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hutakiwi kumtilia shaka daktari wa vijambo. [emoji23]
Hio manaake turbo ya ushuzi iko wazi 😀 ni kawaida kama anakunywa sana bia za ngano! Au vyakula vya ngano kama chapati, mandazi nk.Sio kawaida ila ndo inatokea tu kijambo kinakuja kila muda
Imenitafakarisha sana. Ikanibidi nipitie tena comment yako kwa undani zaidi. Nikitafakari nikiwa upande wake.Stress ni hatari kwa afya ya binadamu
Tumuombee tu mtoa mada hajui alitendalo
Kwenye rangi nyekundu kunathibisha na kudhihirisha hujakomaa kiasi cha kuweza kuwa na mke.Hbr gan Wana jamvi, naiman mu salama
Leo nimekuja na mda yangu ambayo naomb majibu, Kam nilivyo andika katika kichwa Cha mada yangu.
ukweli mke wangu anajamba Sana, Yani mpaka sometime nakuwa tu nacheka ili asiboeke, jana ikabidi nimuulize, "vp mam unashida gani mbona unajamba san"?, akaniambia Amna mi tumbo langu limechafuka San.
Naomba anahisi nin tatzo aniambie.
Onyo;Ukijibu Mambo kimiyeyusho nami nakujibu mavi serious.
Naomba watu walio serious wajibu, ahsant
mhhhhhSio kawaida ila ndo inatokea tu kijambo kinakuja kila muda
Hilo ndio jibu sahihiMpeleke kwa daktari
Mshauri namna gani mkewe anaweza kuponaHujakomaa kuwa kwenye ndoa
Umeolewa?Sijui shida inakuaga nini mimi pia iliwai kunitokea iyo hali yani sio kawaida inakua imepitiliza hasa usiku nikilala ila sasaiv imepotea yenyewe tu bila kufanya kitu
Mpeleke hospitaliHbr gan Wana jamvi, naiman mu salama
Leo nimekuja na mda yangu ambayo naomb majibu, Kam nilivyo andika katika kichwa Cha mada yangu.
ukweli mke wangu anajamba Sana, Yani mpaka sometime nakuwa tu nacheka ili asiboeke, jana ikabidi nimuulize, "vp mam unashida gani mbona unajamba san"?, akaniambia Amna mi tumbo langu limechafuka San.
Naomba anahisi nin tatzo aniambie.
Onyo;Ukijibu Mambo kimiyeyusho nami nakujibu mavi serious.
Naomba watu walio serious wajibu, ahsant
Ofcourse yes, ingawa hili jambo lipo kisaikolojia zaidi wakuu sijajua huko kwenye ma kitchen party kama hili ni sehemu ya mafunzoHili ni sehemu ya somo la ndoa?