Mke wangu anachunguza mno simu yangu

Mke wangu anachunguza mno simu yangu

pole sana ni kweli ni tabia za narcists sababu ya yote ni mtu kutojiamin yeye mwenyew na anashidwa kuamin na wengine
Kabisa! Kazi yao kubwa ni kuku isolate na kila mtu, kukutenga ukose hata msaada tu! Hawajikubali na kila kitu anachofanya anajihisi hakitoshi! Akifanya yeye kitu anajisikia raha ila ukifanya wewe ni kama umechinja ndugu yake!
 
Kabisa! Kazi yao kubwa ni kuku isolate na kila mtu, kukutenga ukose hata msaada tu! Hawajikubali na kila kitu anachofanya anajihisi hakitoshi! Akifanya yeye kitu anajisikia raha ila ukifanya wewe ni kama umechinja ndugu yake!
aaaaah watu wa hivyo unawapa zaid mfano kama anataka umuogope unamuogopa zaid atajisikia vibaya anaacha tuagalie mambo tunayoendana nao hayo ndo yanatuweka pamoja nao
 
Wala hawajali, nilishawahi kuwa na mtu yani message ikiingia tu simu inarukiwa kama mpira wa basketi! Alikuwa anakagua messages zote picha zote, platforms zote! Kama mleta mada tu, ila ss huyu wangu alikuwa kiboko! Alikuwa akiona tu na marafiki wamechangamka changamka anakaa chini anablock marafiki zangu ana unfollow, atafuta namba zao, namba za kiume zote haijalishi nani zitafutwa zote! Calls zinakagauliwa moja moja mpaka dk tulizoongea, yani tunaongea nini! Hataki hata uzoee jirani, sijui ukie da dukani au gengeni hakuna hta kucheka na muuza genge, nunua rudi ndani! Yani ni miaka zaidi ya mitano tulishaachana lakini kila mwaka ndio nagundua fulani kablockiwa mwaka huu! Nilipoteza marafiki wengi connection yani kiufupi nilijikuta naanza upya! Ila ni tabia za narcists hizi!
Carleen
 
Wala hawajali, nilishawahi kuwa na mtu yani message ikiingia tu simu inarukiwa kama mpira wa basketi! Alikuwa anakagua messages zote picha zote, platforms zote! Kama mleta mada tu, ila ss huyu wangu alikuwa kiboko! Alikuwa akiona tu na marafiki wamechangamka changamka anakaa chini anablock marafiki zangu ana unfollow, atafuta namba zao, namba za kiume zote haijalishi nani zitafutwa zote! Calls zinakagauliwa moja moja mpaka dk tulizoongea, yani tunaongea nini! Hataki hata uzoee jirani, sijui ukie da dukani au gengeni hakuna hta kucheka na muuza genge, nunua rudi ndani! Yani ni miaka zaidi ya mitano tulishaachana lakini kila mwaka ndio nagundua fulani kablockiwa mwaka huu! Nilipoteza marafiki wengi connection yani kiufupi nilijikuta naanza upya! Ila ni tabia za narcists hizi!
Ulichotakiwa kufanya ni kumpa uhuru ili akose sababu ya msingi ya kufanya ubusybody aliokuwa anaufanya.
 
Back
Top Bottom