Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,278
- 37,073
wanaume wa dar bana?š¤£Tumia biometrics hasa face ID kwenye iPhone..
Kuna setting ipo hawezi ifungua hata ukiwa umelala..
yaani kasimu tu ndio kanavuruga furaha na amani ya ndoa yenu?
Na unamshauri kabisa mwanaume mwenzako, namna ya kukwepa kufuatiliwa na mkewe kwenye simu? Huko si ndio kuzidisha mafarakano zaidi kwenye ndoa?
msikaribishe kasmartphone nyumbani kwenu ili kavuruge na kuvunja ndoa yenu, unless hako kasmartphone ndiko kalikowaunganisha mkawa wana ndoa.
sio mmekutana kwenye workshops, makongamano, semina n.k, mkazungumza, mkapendana, mkawa wachumba na hatimae wana ndoa, halafu eti from no where mnamkaribisha huyo smartphone kwenye ndoa yenu ili awavuruge na kuwatenganisha.
That's very useless š