Mke wangu anachunguza mno simu yangu

Mke wangu anachunguza mno simu yangu

Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.

Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.
Kama ulioa agent wa MOSAD nadhani hakuna wa kuuokoa,mimi majuzi nilifuta messages za muhimu za madeni ninayowadai watu sikujua hata nianzie wapi ili zirudi wewe ndugu una mke anayeweza kuzirecover.?
 
Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi.

Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na marafiki zangu, account zangu za bank, ninayowasiliana na wazazi wangu, masuala ya kazini. Jamani yaani ni kila kitu. Niliweka app ya kumpiga picha akitoa password na imemkamata mara kibao.

Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.

Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.
si ni mkeo na nyie ni mwili mmoja kuna shida gani mkuu
 
kama unajijua wewe ni mvivu na ni mwanaume wa kujibetua status, tafadhali,

usikimbilie kuoa gentleman plz, coz wiki moja utaiona kama mwaka kwenye ndoa šŸ’
Wewe si ndiye unataka kuzalisha mwanamke, wakati unalipwa buku 7 daily, sasa hao watoto utampa mama yako awalee?
 
Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi.

Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na marafiki zangu, account zangu za bank, ninayowasiliana na wazazi wangu, masuala ya kazini. Jamani yaani ni kila kitu. Niliweka app ya kumpiga picha akitoa password na imemkamata mara kibao.

Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.

Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.
Mkuu unachopitia ndio nachopitia kwa sasa.


Nilikua badili sana password lkn anazijua.

Nikahisi labda nahackiwa .

Mbinu yake ya kujua Password.


Nikiwa natumia simu, anaweza kua Yuko pemben, ANAJIFANYA ANACHAT, KUMBE AMEWEKA KAMERA YA SIMU YAKE.

Hizi simu za Iphone, Samsung, Google pixel, Zina ZOOOM SANA.


Kwahiyo wakati ambao Mimi naona ni Safe, yeye anazoom mpaka meseji, anajua passwords .


Nikilala au nikiwa Bafuni, Anachukua simu ana piga screenshots Kila kitu .




Tumegombana sana, lkn Mwisho nimegundua ANANIPENDA NA NI MWENYE WIVU SANA .


Kuna siku nikamwambia MKE wangu, wewe ni Pisi Kali sana, Nisamehee kwa kukuweka roho juu juu.


Ukweli ni kwamba, SISI WANAUME, TUNAPOCHEPUKAZ KUNA WAKATI TUNACHEPUKA NA KUJISAHAU KABISAAA KIASI KWAMBA, WAKE ZETU WANAKUA CURIOUS SANA KUTAKA KUJUA, KUNA NINI NYIMA YETU
 
Mkuu unachopitia ndio nachopitia kwa sasa.


Nilikua badili sana password lkn anazijua.

Nikahisi labda nahackiwa .

Mbinu yake ya kujua Password.


Nikiwa natumia simu, anaweza kua Yuko pemben, ANAJIFANYA ANACHAT, KUMBE AMEWEKA KAMERA YA SIMU YAKE.

Hizi simu za Iphone, Samsung, Google pixel, Zina ZOOOM SANA.


Kwahiyo wakati ambao Mimi naona ni Safe, yeye anazoom mpaka meseji, anajua passwords .


Nikilala au nikiwa Bafuni, Anachukua simu ana piga screenshots Kila kitu .




Tumegombana sana, lkn Mwisho nimegundua ANANIPENDA NA NI MWENYE WIVU SANA .


Kuna siku nikamwambia MKE wangu, wewe ni Pisi Kali sana, Nisamehee kwa kukuweka roho juu juu.


Ukweli ni kwamba, SISI WANAUME, TUNAPOCHEPUKAZ KUNA WAKATI TUNACHEPUKA NA KUJISAHAU KABISAAA KIASI KWAMBA, WAKE ZETU WANAKUA CURIOUS SANA KUTAKA KUJUA, KUNA NINI NYIMA YETU
Huyo mkeo ana kipaji cha ujasusi..
 
Wewe si ndiye unataka kuzalisha mwanamke, wakati unalipwa buku 7 daily, sasa hao watoto utampa mama yako awalee?
unaskia gentleman,
hata bibilia imeandika kwamba tuishi nao kwa akili,

we ukiona anasumbua,
you just cool down, na mpe ushindi kimyakimya tu, na kivyovyote vile ataingia 18 zako mwisho wa siku, halafu sasa unampamba vizuri sana kwa maneno na matendo, unafyatulisha cha kitoto cha kwanza, halafu unazidisha mapenzi na mahitaji yake,ya mtoto na ya familia nzima kwa ujumla. Wakati ndio anafikiria kumuachisha ziwa, unampiga kitoto cha pili na kumpa zawadi ambazo hajawahi kuzuona maishani mwake na smartphone yako unamuachia kabisa awe anaichaji yeye,

wew si mtu wa kazi bana,
unapiga kazi vya kutosha na unahakikisha mahitaji yote home yameenea vizuri, kabla hajapumzika sawa sawa unapiga kitoto cha tatu 🤣
 
Mkuuu wee acha, Kuna siku kaenda kwao, kafika huko, kanitumia Screenshots zaidi ya 100 Mimi nikichat na Micheps aiseeee nilihisi mwili umepigwa shot .




Yaan ilikua Kila Passwords nazoweka katika Mafile, lazima ajue .
Yaani huyo alikuwa hataki mchezo anakuwa na kidhibiti kabisa.. hapo huwa unakosa pozi.. unakuwa mpole na kigugumizi juu, ujanja wote unakuishia 🤣..

Ule ununda wote kwishnei..
 
unaskia gentleman,
hata bibilia imeandika kwamba tuishi nao kwa akili,

we ukiona anasumbua,
you just cool down, na mpe ushindi kimyakimya tu, na kivyovyote vile ataingia 18 zako mwisho wa siku, halafu sasa unampamba vizuri sana kwa maneno na matendo, unafyatulisha cha kitoto cha kwanza, halafu unazidisha mapenzi na mahitaji yake,ya mtoto na ya familia nzima kwa ujumla. Wakati ndio anafikiria kumuachisha ziwa, unampiga kitoto cha pili na kumpa zawadi ambazo hajawahi kuzuona maishani mwake na smartphone yako unamuachia kabisa awe anaichaji yeye,

wew si mtu wa kazi bana,
unapiga kazi vya kutosha na unahakikisha mahitaji yote home yameenea vizuri, kabla hajapumzika sawa sawa unapiga kitoto cha tatu 🤣
Huo ujinga na ubinafsi danganyaneni na wenzako huko Lumumba...

Mimi sina IQ ndogo...


Nimekutana na taahira wenzako ambao wanawapa mimba wanawake mitaani kwa kigezo cha kuwakomoa, kisa binti ni mrembo una mrubuni na kumpa mimba ili kumkomoa na uweze kumuendesha utakavyo...

Wengi wenu mlio na mindset hii huwa ni wajinga, hamjiamini na washamba.. hizo tabia mnapeleka hadi ndoani..
 
Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi.

Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na marafiki zangu, account zangu za bank, ninayowasiliana na wazazi wangu, masuala ya kazini. Jamani yaani ni kila kitu. Niliweka app ya kumpiga picha akitoa password na imemkamata mara kibao.

Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.

Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.
Pole sana ila kama umeoa gen Z from 1997 kuja mbele hiyo khali huwezi ibadilisha wale ni wabishi na wajuaji sana
 
Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi.

Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na marafiki zangu, account zangu za bank, ninayowasiliana na wazazi wangu, masuala ya kazini. Jamani yaani ni kila kitu. Niliweka app ya kumpiga picha akitoa password na imemkamata mara kibao.

Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.

Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.
Hana kazi ya kufanya mayb..
 
Huo ujinga na ubinafsi danganyaneni na wenzako huko Lumumba...

Mimi sina IQ ndogo...


Nimekutana na taahira wenzako ambao wanawapa mimba wanawake mitaani kwa kigezo cha kuwakomoa, kisa binti ni mrembo una mrubuni na kumpa mimba ili kumkomoa na uweze kumuendesha utakavyo...

Wengi wenu mlio na mindset hii huwa ni wajinga, hamjiamini na washamba.. hizo tabia mnapeleka hadi ndoani..
sasa kama una IQ kubwa ka smartphone tu ndio kababaishe furaha na amani ya ndoa yako?

Eti kwani hii simu yake?🤣
 
Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi.

Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na marafiki zangu, account zangu za bank, ninayowasiliana na wazazi wangu, masuala ya kazini. Jamani yaani ni kila kitu. Niliweka app ya kumpiga picha akitoa password na imemkamata mara kibao.

Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.

Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.
Weka face lock au pin ngumu
 
Back
Top Bottom