Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Sijalikila mtu anajali mambo yake huenda watu wake wanaweza kuwa ndug zako
Sijalikila mtu anajali mambo yake huenda watu wake wanaweza kuwa ndug zako
nahisi ndugu hawajali kuhusu ww ndo maan na ww haujal upo sahihSijali
Ikiwa na huyo mwingine akawa anapekua simu yake atawaua wangapiAtatafuta mwingine
Tuishe tuIkiwa na huyo mwingine akawa anapekua simu yake atawaua wangapi
Asante japo umechelewa kuelewanahisi ndugu hawajali kuhusu ww ndo maan na ww haujal upo sahih
Mkuu tumia hii mbinu. Tumia fingerprint kutoa lock kama simu yako haina tafuta simu yenye finger print. alafu badilisha password. Badda ya kubadili anza kutoa simu kwa finger print tu ili asijue passwor. Alafu ikifika usiku restart simu yako alafu iweke pembeni usiitumie kwa hapo hataweza kuitumia maana akishika itadai password baada ya kuwashwa na hapo hajui password wewe tu ndio unajua. kama utasahau kuizima simu hakikisha una set ile schedule power on/off ipishanishe dk 3 - 5 ili simu iwe inazima nakujiwasha yenyewe ukiwa umelala. na akishika tu anakutana na password ambazo hazijui. Wewe ukishika asubuhi unatoa password alafu unaendelea na fingerprint. DoneJamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi.
Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na marafiki zangu, account zangu za bank, ninayowasiliana na wazazi wangu, masuala ya kazini. Jamani yaani ni kila kitu. Niliweka app ya kumpiga picha akitoa password na imemkamata mara kibao.
Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.
Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.
Itabidi anunue simu hata ya android kubwa, nyingi siku hizi zina feature ya ku unlock kwa sura..Je kama anatumia Tecno
Usifanye hivyo mkuu! Ukamuumize mkeo kwa sababu ya wanawak
Well said brother lakini tukubali kabisa kuwa si kila kitu tunashea na wake zetu. Wewe mkeo unamweleza kila kitu? Huna hata jambo moja ambalo hapaswi kujua?Mke ni rafiki yako, mwandani wako, msiri wako, familia yako, nk. Ndivyo hivyo hivyo inavyotakiwa kwa mwanamke dhidi ya mume wake. Mapasword ni ya nini kwenye simu? Huoni kwa kitendo cha nyinyi kuishi na hizo password za simu ni kiashiria kimojawapo cha kukosa kuaminiana baina yenu? Kwa nini msiwe na maisha ya uwazi! No passwords, no secrets.
Kwa mfano wewe na hiyo familia yako mnachat mambo gani ya siri ambayo mke wako hatakiwi kuyajua? Halafu kama ulikuwa hujui, ukishaoa familia yako ni mke na watoto. Hiyo familia nyingine, marafiki, michepuko, nk hutakiwi kuipa uspesho uliopitiliza. Ukifanya hivyo familia yako halisi itakosa utulivu.
Sure bro kama ni stroke anaweza kupata kwa kweli kwa sababu huyu mwanamke kama kunipenda nahisi ananipenda. Ila hii tabia ya kuchunguza simu, asee siipendi, ananikera mno.Utamuua.....usifanye hivyo ! Huyo alipofikia hajiamini ....ukimpiga tukio atapata stroke huko.....itakuwa shida zaidi kwako.....nenda nae taratibu....kama unaweza mpige mimba awe busy au mtafutie shughuli awe busy but pia usimuache free sana maana akigundua kitu atakulipizia kisasi kwa kugawa nje....hatari sana akienda nje na stress .....ataanza kuhonga huko.....
Kuna watu wengine wameumbwa hivyo. Hawajiamini au ubinafsi.Hapo utakuta kipo kitu nyuma ya pazia ulichokificha ambacho ndo kimesababisha yote hayo.
We wa wapi?Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza. Yaani kwa kifupi nipo uchi.
Kama mnavyojua sasa hivi simu ndio kila kitu. Yaani ninachochat na marafiki zangu, account zangu za bank, ninayowasiliana na wazazi wangu, masuala ya kazini. Jamani yaani ni kila kitu. Niliweka app ya kumpiga picha akitoa password na imemkamata mara kibao.
Anachimba mpaka message za messenger, mpaka deleted messages anazifukua, mpaka zile locked messages za whatsapp anazo. Anachukua namba za watu anawapigia a. Tunachat masuala ya siri ya kifamilia kumbe yote anayajua ananichora tu.
Nimekuwa nikibadili password kila siku lakini wapi. Hii tabia kwa kweli inanikera sana na nashindwa la kufanya. Plz nishaurini.