Mke wangu ametoa mimba kwa siri

Mke wangu ametoa mimba kwa siri

Pole sana labda niulize kama mna watoto na wangapi? je una simamia majukumu yako kaba baba au mume? unakuwepo pindi familia yako inakuhitaji? sababu pesa sio kila kitu uwepo wako nao pia unachangia.. usijitie BP mkuu watoto mwenyezi mungu ndio anapanga msubiri mkeo apate afya njema kaeni chini myamalize kama watoto inshallah mtapata wengine,huenda ikawa hajui kama alikua na mimba...
 
Huwa mnawasimanga sana wadada humu kumbe na wake zenu huwa wanatoa,hapo asingeumwa wala usingejua.....sijui wake zenu wakitoa huwa hawachakai just thinking......
 
Kwa hili siwezi nikasema lolote aiseeee......
Maana haya mambo hua magumu sana mkuu, hasa nikikumbuka nilivyo kua nachapiwa na nikajua naushahidi ulikuwepo (picha).
Lakini mwisho wa siku niliishia kuendelea kuanae tu....
Hizi Kei bhana.....😀
 
1)Mtoto hakuwa wako
2)Hajapanga au hakupanga kuzaa na wewe
Kaa nae kwa upole akueleze ni sababu ipi kati ya 1 na 2!!!Kama ni ya1 angalia unakosea wapi na kubwa ni wew kuwa busy xana na unashndwa mtimizia haja zake kitandani. kama ni 2 huyo hakupendi mwambie arudi kwao maana sasa hakuna namba nyingine.
usikute jamaa anamzalisha mfululizo...mke kachoka
 
Huwa mnawasimanga sana wadada humu kumbe na wake zenu huwa wanatoa,hapo asingeumwa wala usingejua.....sijui wake zenu wakitoa huwa hawachakai just thinking......
mbona unajitetea sana mkuu?
 
usikute jamaa anamzalisha mfululizo...mke kachoka
Hio sio justification, kutoa mimba ni dhambi hata sababu iweje...lakini ukubwa wa dhambi ni conscious ya mtu binafsi,labda mkewe conscious yake ilishakufa....
 
Habari ndugu zangu,

Juzi ilikua ni siku ya mshtuko baada ya mke wangu kuzidiwa ghafla nilipompeleka hospitali nikaambiwa mfuko wa kizazi ni mchafu kwa kua alitoa mimba hivi karibuni.

Nashindwa kwa kuanzia
KILL HER AND GOD WILL UNDERSTAND
 
Naomba namba ya mkeo tafadhali ninashida naye binafsi.
 
Kaka anzia alipoishia yeye, Kama katoa mimba we MTOE yeye...Ukichelewa utatolewa na wewe...haina majadiliano dhambi aliyotenda ni kubwa saana
 
uyo atakuja kukutoa hata wewe! kama ametoa mimba basi ilikuwa ya mchepuko! unatakiwa uanze kwa ukali wala usimchekee uyo! muulize akupe sababu sita au zaidi za kutoa mimba??
kweli, ni hatari kuliko maelezo kama kaua mtoto wake mwenyewe, itakuwaje kwa mtoto wa mwenzake? ila angezaa mzungu sijui mkuu angekuja kuuliza nn maana hafanyi maamuzi magumu mpaka aulize.
 
Wenzake hata kama ya mchepuko wanazaa tu mbona wanaume kibao kwenye ndoa wanalea watoto ambao sio wao.....

La kutoa mimba hilo namlaumu sana.... Na wewe kwa kuanzia muulize kwanini ametoa mimba yako bila ridhaa yako
 
Back
Top Bottom