projectman
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 349
- 486
kwanini umeniuliza hivyo?Wewe una mke?
kwanini umeniuliza hivyo?Wewe una mke?
Nataka kujua kama angekuwa ndo mkeo ungefanyaje.....? Na pia hiki ambacho jamaa kimemtokea jaribu kuvaa viatu vyake ...kwanini umeniuliza hivyo?
Kwakweli nijitahidi kulea familia na tuna watoto wawiliPole sana labda niulize kama mna watoto na wangapi? je una simamia majukumu yako kaba baba au mume? unakuwepo pindi familia yako inakuhitaji? sababu pesa sio kila kitu uwepo wako nao pia unachangia.. usijitie BP mkuu watoto mwenyezi mungu ndio anapanga msubiri mkeo apate afya njema kaeni chini myamalize kama watoto inshallah mtapata wengine,huenda ikawa hajui kama alikua na mimba...
As serious as my name is flora...Are you serious?
^^
Tena quire 6....Duuh..Angekuwa wangu huyo ingebidi ajaze counter book 4 za maelezo ndo nimuelewe
Unazielewa eeee(kei)...hufurukuti mzee mzima[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hatarrrrKwa hili siwezi nikasema lolote aiseeee......
Maana haya mambo hua magumu sana mkuu, hasa nikikumbuka nilivyo kua nachapiwa na nikajua naushahidi ulikuwepo (picha).
Lakini mwisho wa siku niliishia kuendelea kuanae tu....
Hizi Kei bhana.....😀
Hiyo nayo point.... Kaona hebu mie nipumzike mashaka kaamua aitoe ,...Maana wanaume wengine ka nyau[emoji82] vileeeusikute jamaa anamzalisha mfululizo...mke kachoka
Umenifikirisha sana.Mpongeze kwa hilo!, kutoa mimba si kazi rahisi "Nani kama mama!". Ameamua kuua kwa kukusudia, ameamua kumpuuza Mungu wake, mke wako ni jasiri sana kuliko hata wewe; sema tu ana sura laini kuliko wewe!. Mwanamke akiamua kutenda dhambi anatenda bila hata kukuogopa wewe! isipokuwa wewe ukitaka kutenda dhambi utamuogopa mke wako hutomuogopa Mungu!.. ...Nakushauri mpongeze mkeo kwa kutoa ujauzito maana angeamua kukutoa wewe...tungeona a/c yako ya jamiiforum inakuwa DORMANT
Duh natamani ningekuwa na huo moyo
Kaka anzia alipoishia yeye, Kama katoa mimba we MTOE yeye...Ukichelewa utatolewa na wewe...haina majadiliano dhambi aliyotenda ni kubwa saana