Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
1. Unahisi mimba iliyotolewa ni yako?Habari ndugu zangu,
Juzi ilikua ni siku ya mshtuko baada ya mke wangu kuzidiwa ghafla nilipompeleka hospitali nikaambiwa mfuko wa kizazi ni mchafu kwa kua alitoa mimba hivi karibuni.
Nashindwa kwa kuanzia
2. Kama si yako, muulize politely who was responsible
3. Kama ni yako muulize why ameamua kuitoa..??
4. Kwa jibu lolote hapo juu, Itisha kikao cha kifamilia, kikiwahusisha waza tu, then elezea kilichotokea
5. Eleza maamuzi yako kwenye kikao baada ya kujibu maswali matatu ya mwanzo
PAMOJA NA YOTE HAYO, LABDA KAOGOPA KUWA SEHEMU YA ILE 48% YA DNA