bowlibo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 3,209
- 2,920
1)Mtoto hakuwa wako
2)Hajapanga au hakupanga kuzaa na wewe
Kaa nae kwa upole akueleze ni sababu ipi kati ya 1 na 2!!!Kama ni ya1 angalia unakosea wapi na kubwa ni wew kuwa busy xana na unashndwa mtimizia haja zake kitandani. kama ni 2 huyo hakupendi mwambie arudi kwao maana sasa hakuna namba nyingine.
Kweli kabisa
Mi mwenyewe alitoa hivyohivyo ila nashindwa kumumwaga kwa sababu ninahofu labda nishayakanyaga
Vinginevyo ningetafuta dogodogo mwingine tena toka mbali nikapima naye na ku-move on