mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,150
- 8,128
Kwa Siku tatu mfululuzo nimekua katika taharuki kubwa , kutokana na kitendo cha mke wangu kumuwekea bosi wake wasapu sitatasi na kapusheni nyingi za kunizodoa na kunidhalilisha..
Leo asubuhi amempost bosi wake ndugu Abudala na kuandika "mtu mwenye moyo wake mjini , sio Hawa wakwetu wanaume videvu, wavaa shati za vitenge na suruali za ulimbo".
Ukweli nahisi kudhalilika kupitia wasapu sitatasi zake, hasa ukizingatia huyo bosi wake ni juzi alinipa laki moja na kuomba mke wangu ahamia kazini kwake namimi nikakubali.
Nalia kwa uchungu ndugu zangu!!!!
Leo asubuhi amempost bosi wake ndugu Abudala na kuandika "mtu mwenye moyo wake mjini , sio Hawa wakwetu wanaume videvu, wavaa shati za vitenge na suruali za ulimbo".
Ukweli nahisi kudhalilika kupitia wasapu sitatasi zake, hasa ukizingatia huyo bosi wake ni juzi alinipa laki moja na kuomba mke wangu ahamia kazini kwake namimi nikakubali.
Nalia kwa uchungu ndugu zangu!!!!