Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,785
- 12,197
Mleta mada acha hizo! Unafeli sana. Mungu atakuchapa kibao utajuta kuzaliwa.
JESUS IS LORD
JESUS IS LORD
Hapana, siipendi michirizi.Mku utakuwa unapenda visichana vidogo vidogo ,Ilakumbuka unayechepuka naye akijifunguaanaweza pata michiriz pia.
Inasaidia niniBio oils hamna kitu nowdays
Naziuza Ila kwa michirizi ni uongo
Sio tu fisi, wewe ni mlafi na zoa zoa!Mbona mi hiyo michirizi hainisumbui jamani au mi fisi nakula kila kitu?
Mchawi wewe...Asalaleh!!!! aisee mi naipenda hii michiriziii
Serious?Kwahiyo hicho ndicho kiuno cha mke wako?
Namba yake naihitaji nimwelekeze dawa, ndani ya massa 96 yaani siku 4 michirizi hutaiona tena
SawaNimewapenda sana wanaume kwenye huu Uzi, heri mumemwambia ukweli huyu mvulana wanawake tukizaa miili yetu huchakaa na kubadilika na hata sisi hayo mabadiliko hutuumiza lakini tufanyeje ndio tunaleta watoto duniani, Sasa wanaume wengi wasiojielewa huanza umalaya na kuumiza wake zao
Basi endelea kumuonea huruma!Yàani huyo mkewe namuonea huruma mimi
Nazoa zoa kwa mke wangu?Sio tu fisi, wewe ni mlafi na zoa zoa!
Ujumbe mzuri ila umetumia poor technique kuuwasilisha! Poor representation!Daaah ila we jamaa unaweza kupata laana! Kumbe unajua iyo michirizi ni kwaajili ya tumbo la uzazi amekupa zawadi ya mtoto kakubali kujiharibu kwaaijili ya mtoto wako wewe kenge..... chepuka kwa uroho wako wacha kusingizia mambo ya mkeo sasa hayo yana connection gani na zaga yake? Ukiona binti ana iyo mistari mpe heshima yake uyo ni mama!!!! Bila hiyo michirizi hata wewe usingekuwepo jifunze kuwa na adabu
Msamaha gani wewe mzee? Ninampenda na ndiyo maana namtafutia dawa!Huyu ni mpumbavu sana,
Mke kaanguka kavunjika mkono tena kule kwenye vidole,
Leo wiki ya pili mimi namwogesha ,
Nina miaka naye 31, na ninampenda haswa,
Huyu huyo mke wake atakaa naye miaka mingapi?
Mpuuzi sana huyu mtu, na hana adabu, pamoja na kusemwa humu lakini hata msamahaa hana
Pusi? Pusi si unayo wewe kati kati ya miguu yako? Inanuka samaki samaki si ndio? Sio huyo tu, hata nikikukuta wewe nakufirimba pia!Unamtisha Nani Sasa wewe pusi,, na je ukifirimbwa wewe,,jitu lenyewe akili huna jibwakoko
Nipe Namba yake nimpe shule namna ya kuondoa hiyo michirizi.Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Ila wewe nikikukamata nitakufirimba nikiwa nimevaa barakoa, samaq samaq harufu sitotaka kuisikia.Unamtisha Nani Sasa wewe pusi,, na je ukifirimbwa wewe,,jitu lenyewe akili huna jibwakoko
Hahahahahahah eeh! Unamfuja mkeo!Nazoa zoa kwa mke wangu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daaaaah usiniambie!Ila sisi wanaume tuko tofauti sana binafsi navutiwa sana na michirizi haswa eneo la nyonga na makalio yaani ni kama vile naona bibo limeiva mpaka likapasuka.
Mkuu usitake kuniambia wewe unapenda stretch marks, ila anyway nitachukua ushauri huo. Shukrani!Whats wrong with that?
Yaani hii dunia bwana,kuna watu wanajitafutiaga sadness bila sababu ya msingi
Basi uwe unamtomba usiku umezima taa usione hizo stretch marks
Au tomba ukiwa umevaa masks usione chochote
You niggas are like babies.......no self consciousness!
Inasikitisha sanaYàani huyo mkewe namuonea huruma mimi