Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,254
Mkuu, kama unataka kuchepuka sababu ya michirizi tu, basi sina budi kusema ulioa ili kuhalalisha ngono.
Mkuu, kwa ushauri mdogo tu, tafuta bio-oils hua zinasaidia kwa kiasi fulani.
NB: usichepuke mkuu, pambana zaidi mpaka wife arudi katika hali sawa,na hicho ndicho kinaitwa ku-add value kwa mwenza wako.
Bio oils hamna kitu nowdays
Naziuza Ila kwa michirizi ni uongo



