Kuchepuka ni akimedisi principle, toka enzi. Hiyo haitegemei uzuri wa mke.
Poleni kwa michirizi lakini. Muonr Dr Mwaka
Hahaha umemaliza...Bado sura ya usichana itaondoka inakuja ya uzee....kimbia nyumba kabisa make yajayo hayafurahishi.
Kama michirizi tu inakutoa imani sasa akikatika miguu si utakimbia nyumba kabisa.
Mshenzi tu hana lolote yaani hawa wanaume jamani na alivo hajielewi kaweka na picha ya mkewe kaah!!!Bado sura ya usichana itaondoka inakuja ya uzee....kimbia nyumba kabisa make yajayo hayafurahishi.
Sanaa daah!Dah nimeumia sana
Huyo sio mwanaume ni mvulana tu. Wanaume tupo wachache sana.Mshenzi tu hana lolote yaani hawa wanaume jamani na alivo hajielewi kaweka na picha ya mkewe kaah!!!
Unauza bei gani dear
Wife alikuwa nayo Ila kwa tiba yake mbonaa rahisi Mkuuu wa kayaaaWakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Hiyo picha ni kwa ajili ya kuonyesha tatizo ili tusiojua pia tujue, sasa kwa picha hiyo unaweza mjua hata kama ukikutana naye??Mshenzi tu hana lolote yaani hawa wanaume jamani na alivo hajielewi kaweka na picha ya mkewe kaah!!!
"A Song Of Lawino and Ocol."Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Pumbavu kabisa!! Huna hata haya unavosema unataka umuasi mkeo kisa katokwa na michirizi tena ametoka kujifungua. Mungu akuepushe ndugu.Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Unauza bei gani dear
Yaani amejifikiria yeye tu, sipati picha hiyo michirizi ingekua ni ya unene wa kula![]()
![]()
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441