Shingp?
Shingp?
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhari
Huo sio ugonjwa bro ila wewe ndiyo mgonjwa
Asante sana.Dah!poleee sana [emoji55]
WeweAsante sana.
Mzee on this I'm so sorry!Mimba umempa wewe
Ngozi ya tumbo imejivuta kwa sababu yako wewe
Halafu leo unamuona havutii
Mungu anakuona mkuu
Ntazana Ntazana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah kuna watu wana id za ajabu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shingp?
Fanya diet, wengine hatupendi mavitambiYaaan nimewaza sana siku nakuta kitambi changu kimefunguliwa uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana,mwanamke wa hivyo ni changamoto sana wala sio siri,inabidi mkulane usiku tu mkishazima taa, hiyo michirizi inakata moto hatari,utampenda sana kwakuwa ni mkeo ila huna namna itabidi utafute sehemu nyingine ya kukata kiu.Dah nimeumia sana
Akizaa tena je?Enewei tafuteni shea butter Og from ghana achanganye na majivu awe anapaka pia atafute black soap from Ghana ila usitegemee atapaka leo kesho iwe imeisha, it take times kidogo
Akibeba mimba, ikiwa imeanza kuwa kubwa aanze kupaka kabisa so akijifungua inakua sio mingi na haichukui time kupoteaAkizaa tena je?
Tafadhali naona usiitoe hiyo michoro.Shingp?
Ulipenda mke au ngozi?Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Hiyo michirizi unashida gani? Kama anakupa mechi unarizika hiyo michirizi iache tu kina siku itaishaWakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.
Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.
Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441