Mke wangu amenifanya nimkinai

Mke wangu amenifanya nimkinai

Nimewapenda sana wanaume kwenye huu Uzi, heri mumemwambia ukweli huyu mvulana wanawake tukizaa miili yetu huchakaa na kubadilika na hata sisi hayo mabadiliko hutuumiza lakini tufanyeje ndio tunaleta watoto duniani, Sasa wanaume wengi wasiojielewa huanza umalaya na kuumiza wake zao
 
Nimewapenda sana wanaume kwenye huu Uzi, heri mumemwambia ukweli huyu mvulana wanawake tukizaa miili yetu huchakaa na kubadilika na hata sisi hayo mabadiliko hutuumiza lakini tufanyeje ndio tunaleta watoto duniani, Sasa wanaume wengi wasiojielewa huanza umalaya na kuumiza wake zao
Yàani huyo mkewe namuonea huruma mimi
 
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441

Daaah ila we jamaa unaweza kupata laana! Kumbe unajua iyo michirizi ni kwaajili ya tumbo la uzazi amekupa zawadi ya mtoto kakubali kujiharibu kwaaijili ya mtoto wako wewe kenge..... chepuka kwa uroho wako wacha kusingizia mambo ya mkeo sasa hayo yana connection gani na zaga yake? Ukiona binti ana iyo mistari mpe heshima yake uyo ni mama!!!! Bila hiyo michirizi hata wewe usingekuwepo jifunze kuwa na adabu
 
Nimewapenda sana wanaume kwenye huu Uzi, heri mumemwambia ukweli huyu mvulana wanawake tukizaa miili yetu huchakaa na kubadilika na hata sisi hayo mabadiliko hutuumiza lakini tufanyeje ndio tunaleta watoto duniani, Sasa wanaume wengi wasiojielewa huanza umalaya na kuumiza wake zao
Huyu ni mpumbavu sana,
Mke kaanguka kavunjika mkono tena kule kwenye vidole,

Leo wiki ya pili mimi namwogesha ,
Nina miaka naye 31, na ninampenda haswa,

Huyu huyo mke wake atakaa naye miaka mingapi?

Mpuuzi sana huyu mtu, na hana adabu, pamoja na kusemwa humu lakini hata msamahaa hana
 
Aisee, cha ajabu michirizi ya mama chanja na kale kakitambi kake ka kufutia simu ndio kanakonipaga mzuka kwenye uwanja wa fundi seremala.

Nb;- Mpende mkeo, hata michepuko ina michirizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana endelea kumpenda mke wako mkuu.
Leo kabadilika yeye kesho utabadilika wewe miili yetu inachange .
HONGERA,UMETOA USHAURI MZURI SANA
TUJIFUNZE KUVUMILIANA KWENYE MAMBO MADOGO KAMA HAYA
DUNIA HAINA MWENYEWE,LEO WEWE KESHO YEYE
 
Nimewapenda sana wanaume kwenye huu Uzi, heri mumemwambia ukweli huyu mvulana wanawake tukizaa miili yetu huchakaa na kubadilika na hata sisi hayo mabadiliko hutuumiza lakini tufanyeje ndio tunaleta watoto duniani, Sasa wanaume wengi wasiojielewa huanza umalaya na kuumiza wake zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzinzi.
 
Unamtisha Nani Sasa wewe pusi,, na je ukifirimbwa wewe,,jitu lenyewe akili huna jibwakoko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom