Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,879
- 155,845
Ufanyeje ukiikuta meseji hii kwenye sent items za simu ya mkeo?
Amemwandikia mdogo wako, baba mmoja mama mbalimbali. Umekuwa ukimsomesha mdogo wako huyo tangu akiwa sekondari na sasa yuko mwaka wa pili chuo.
Pia mkeo kamsevu mdogo wako kwa jina Irene Msusi.
Meseji yenyewe inasema hivi;-
Amemwandikia mdogo wako, baba mmoja mama mbalimbali. Umekuwa ukimsomesha mdogo wako huyo tangu akiwa sekondari na sasa yuko mwaka wa pili chuo.
Pia mkeo kamsevu mdogo wako kwa jina Irene Msusi.
Meseji yenyewe inasema hivi;-
Hiki ni kisa cha kweli kimemtokea jamaa yangu, kaja kuniomba ushauri akiwa na simu ya mkewe. Hajamwambia mkewe lolote na wala mkewe hajui jamaa kaichukua simu yake tangu saa 11 alipotoka kaziniJiandae kesho lazima nikunyoe msitu, jana nimekusikia umeanza kutoa kaharufu fulani kabaya.