Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

Gambo hamwezi Bashite. Hamwezi kwa sababu ya mamlaka yake ya mkuu wa mkoa.
Hata yeye alifanta hivyo kwa mh Lema.
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Duh! Hivi fimbo bado ni kifaa cha kufundishia hadi sasaa
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Afisa elimu kupanda jukwaa la kisiasa; alijitumbua mwenyeww. Kwanza Mteuzi ni Mchengerwa ambaye Gambo alimzushia uongo. Katika hili; Makonda hausiki. Afisa Elimu hateuliwi na Mkuu WA mkoa
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Mjinga sana huyu mama. Anasimama jukwaani live ajibizane na mwajiri wake?

Angeweza kufanya passively kupitia mitandao au watu wasiokuwa na uhusiano na ajira kama yeye.

Angalia sasa. Ugali umetiwa vumbi na inabidi aukate ndipo aule.
 
Mh. Rais wetu Mama Samia ndio Mwenyekiti wa Chama chetu CCM, dhibiti huyo Makonda kutaka Ubunge wa Arusha mjini kwani Gambo ni mbunge yuko vema zaidi.
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Mimi nafurahi. Nyerere alishasema dhambi ya ubaguzi huwa haiishi. Wamemalizana na CHADEMA ARusha kwa hujuma sasa wamehamishia vita ndani kwa ndani.
 
Gambo ni mjinga Sana na anabidi kunyooshwa akose ubunge na akose cheo chochote .

Maana alimnyanyasa Sana Lema na kuzuia hospaltali ya Mama na Watoto Isijengwe kisa tu Lema ndo alileta wafadhili so anabidi kunyooshwa kisawa sawa

Wote siwakubali kwakuwa hawana smartness yoyote Ila linapokuja swala la kufanyiana ubaya wafanyiane tu kwakuwa watu wabaya sio wa kuwatetea
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Uzuri wa SIRIKALI mishahara haushuki sema marupurupu ndiyo atayakosa.
 
Back
Top Bottom