Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Fani ni Ualimu, wacha afanye kazi aliyosomea.
 
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
images (27).jpeg

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
images (28).jpeg
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Alikosea huyo mwanamke. Mtumishi wa umma hutakiwi kuwa front kwenye active politics. Waliomwondoa wako sahihi. Kiherehere kimemponza.
 
Uzuri wa SIRIKALI mishahara haushuki sema marupurupu ndiyo atayakosa.
Kuna jamaa alikuwa Mwalimu baadae akaingia CWT akawa Afisa akaachana na chaki .

Baadae walitolewa yeye na akina Maganga.

Kiukweli ile 'Ari' ilimuathiri Sana MTU umezoea kutembelea V8 ofisi kiyoyozi Marupu rupu Makubwa .

Baadae unakabidhiwa Chaki na kupewa vipindi huku Mwalimu Mkuu wako anakufatilia kila unapokanyaga.

Ile hali ilimuathiri Sana kisaikolojia ,kiuchumi . akawa MTU wa kujikatia tamaa

Kumbuka ukiwa unapata marupu rupu mazuri lifestyle unabadilisha kwa 80% kuanzia kula , kuvaa, kusaidia ,

Umezoea kulaza karibia 8M ghafla unarudi kuokota 600K ambayo Ina makato ndani
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Picha yake tafadhali, wana tunataka kumuona kabla ya kumtongoza na kumfariji
 
Kuna jamaa alikuwa Mwalimu baadae akaingia CWT akawa Afisa akaachana na chaki .

Baadae walitolewa yeye na akina Maganga.

Kiukweli ile 'Ari' ilimuathiri Sana MTU umezoea kutembelea V8 ofisi kiyoyozi Marupu rupu Makubwa .

Baadae unakabidhiwa Chaki na kupewa vipindi huku Mwalimu Mkuu wako anakufatilia kila unapokanyaga.

Ile hali ilimuathiri Sana kisaikolojia ,kiuchumi . akawa MTU wa kujikatia tamaa

Kumbuka ukiwa unapata marupu rupu mazuri lifestyle unabadilisha kwa 80% kuanzia kula , kuvaa, kusaidia ,

Umezoea kulaza karibia 8M ghafla unarudi kuokota 600K ambayo Ina makato ndani
Hilo jambo lisikie kwa mwingine sipati picha wale wanaofiwa na watoto wao ...Niliondoka sehemu kutokana na mifumo ya serikali hasa huyu Rais wa sasa,Acha tu lisikie tu kwa jirani ...Hata kama unapata maslahi ila kuna kitu kinakera ,ukikumbuka zile nyakati .

Ni experience mbaya zaidi kwenye maisha yangu mpaka sasa.
 
Kwa miongozo ya utumishi wa umma,Mtumishi wa umma kama mwalimu haifai kujiingiza kwenye siasa, kama huyo mke wa Gambo angetaka kugombea ubunge ama udiwani basi anapaswa kuandikia barua mkurugenzi apewe likizo bila malipo single kwenye siasa sio kukurupuka kupanda majukwaani namna ile.
Hii miongozo huwa mnaisoma wapi? Wenzetu, Kuna watumishi wasio ruhusiwa kabisa kujihusisha na Siasa. Lakini kuna watumishi wanao ruhusiwa kujihusisha na Siasa nje ya masaa ya kazi, Walimu ni kundi la watumishi wanaoruhusiwa kufanya Siasa baada ya Muda wa kazi.Ndiyo maana walichofanya ni kumuondoa Uafisa Elimu sio kumfuta kazi.Yaleyale tuwe fair na tuwe positive
 
Kuna jamaa alikuwa Mwalimu baadae akaingia CWT akawa Afisa akaachana na chaki .

Baadae walitolewa yeye na akina Maganga.

Kiukweli ile 'Ari' ilimuathiri Sana MTU umezoea kutembelea V8 ofisi kiyoyozi Marupu rupu Makubwa .

Baadae unakabidhiwa Chaki na kupewa vipindi huku Mwalimu Mkuu wako anakufatilia kila unapokanyaga.

Ile hali ilimuathiri Sana kisaikolojia ,kiuchumi . akawa MTU wa kujikatia tamaa

Kumbuka ukiwa unapata marupu rupu mazuri lifestyle unabadilisha kwa 80% kuanzia kula , kuvaa, kusaidia ,

Umezoea kulaza karibia 8M ghafla unarudi kuokota 600K ambayo Ina makato ndani
Ndio ubaya wa ajira za kuteuliwa huo. Hapo ndio utaelewa cheo dhamana maana hata wale uliokuwa unakunywa nao bia wanakukataa.
 
Kwani mkuu wa mkoa ana uwezo huo kumbe? Wa kumshusha cheo afisa elimu?
Afisa Elimu ni cheo cha kisiasa kinakuwa influenced na siasa .

Unafikiri mke wa Gambo amekuwa Afisa Elimu Kutokana na ushawishi wa Ccm na sio weledi.

Kwahiyo RC Ana uwezo wa kukunyanganya Ila ambacho RC hawezi ni kumfuta Kazi Ila kupitia majungu na fitina kila kitu kinawezekana.
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Si apige kazi chini, fundi viatu anaishi ,sembuse mke wa Mbunge
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Konda katika harakati zake za ukatili 😁😁
 
Mkuu tupe ushahidi walau kidogo basi kuhusu hiyo 👆 tuhuma, isijekuwa unatulisha matangopori kwa hadithi za kutunga.
Ushahidi gani labda ?.
Barua ya kipangiwa majukumu mapya ni siri baina ya mlengwa na mwajiri wake.

Sisi tumeshuhudia badala ya Mrs Gambo kuendelea na majukumu yake ya mwanzo sasa ni Mwl wa kawaida wala si Mwl Mkuu hapana Mwl wa kawaida.

Kwa taarifa yako wale wote waliokuwa wakishikiana na Mh Gambo kwa namna ya kumsaidia,kumkuza.....Waligamishwa vituo vyao vya kazi muda mrefu.

Hili unaweza kulithibitisha mwenyewe au kuwasiliana na Mwandishi msomi wa Global Tv ambaye kama angekuwa katika ajira ya serekali labda angeshahamishiwa Loliondo.

Ni vizuri wakati mwingine kufanya research sio kila kitu kutafuniwa.
 
kama kweli anafanya hayo basi wajumbe wanawezafanya walichofanya Kigamboni
Makonda atakuwa ni mpuuzi sana. Alitaka mke wa Gambo aone aibu kumtetea mume wake hadharani? Yeye anavyomfungia mke wake ndani anadhani kila mtu anafanya hivyo? Kwanza ngoja tukamchapie ili ajitambue.
 
Inawezekana Afisa Elimu alifanya kosa. Ila kwa hali ya ugomvi ya mumewe na RC inawezekana ikaonekana ni kulipishana visasi.

Kwenye makaratasi inatakiwa mbunge awe na mamlaka kumzidi RC ila huko field mbunge ni mnyonge sana kwa RC
Kama WABUNGE wenyewe hawajutambui lazima wakimbizwe mchaka mchaka.
 
Back
Top Bottom