KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 3,503
- 4,524
ISIPOKUWA LEMA?Uchaguzi ukiwa huru na haki si Gambo wala Makonda atakayeshinda ubunge.
Hili lipo wazi kabisa.
ISIPOKUWA LEMA?Uchaguzi ukiwa huru na haki si Gambo wala Makonda atakayeshinda ubunge.
Hili lipo wazi kabisa.
Kuna ngazi tofauti za Uafisa Elimu na uteuzi wakeHeshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
Kwani kufundisha ni adhabu?Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Well saidKama ni namba 2 basi Gambo anapaswa atambue vita yake sio dhidi ya Makonda peke yake
nafkiri hujanielewa mkuu nimesema kushika chaki ndiyo kazi aliyeomba mshahara wake uko palepale sanasana atakosa malupulupu ya hapa na paleMkuu sio kumkomoa uyu mama amedandia mtumbwi wa vibwengo hii vita haimuhusu hata kidogo yeye afanye mambo yake sio kuingilia vagi lisilo muhusu watu wenye mamlaka sio wa kushindana nao wana uwezo wa kutumia mamlaka yao na kukuaribia ugali wako wacha ashike chaki akili imkae sawa
Fimbo ni kifaa muhimu?Heshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
😅😅😅Chini ya CCM uwezo huo anao
DuhAfisa Elimu ni cheo cha kisiasa kinakuwa influenced na siasa .
Unafikiri mke wa Gambo amekuwa Afisa Elimu Kutokana na ushawishi wa Ccm na sio weledi.
Kwahiyo RC Ana uwezo wa kukunyanganya Ila ambacho RC hawezi ni kumfuta Kazi Ila kupitia majungu na fitina kila kitu kinawezekana.
Ulevi wa madaraka.Heshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
Afisa elimu ngazi ipi.Heshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
Nchi ya wote mbuzi wewe, mbona mnapenda kufunga wengine midomo, mnaogopa nini au ni ushamba tuuYeye anakwenda majukwaani kufanya nini?
Kumbe waalimu wanakabidhiwa chaki fimbo na kifutio. Basi sawaH
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Inawezekana hii hatua ilishaanza. Sema tu hatuwezi kujua kirahisi kama tulivyojua hili la shemeji,. Ya rohoni si ya mwilini.Kifuatacho hapo ni kutupiana majini tu.
KARMA HYO INAMUANDAMA GAMBO!Alimsumbua sana LEMA , sasa yanamkuta!Heshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
Kwa nafasi yake hatakiwi kufanya siasa, kama ni kweli wala hajaon
Kwa kuwa una mamlaka na unakula honey baga ndio umeamua kupotosha ukweli juu ya nguvu ya umma kuwa haiwezi shindana na mamlaka ? Usijilishe upepo😂😂😂😂😂😂😂😂 Siku zote huwezi shindana na wenye mamlaka
Hakuna kazi yeyote kaka ukitumbuliwa unapelekwa kama mwalimu na sio afisaelimu chaki itakuhusu na mkuu wa shule anakupangia majukumu kama mwalimu na utayatekeleza tuNachoona, mke wa Gambo aliamua kufanya hivyo kwa sababu amechoka mume wake kudhalilishwa. Siyo kwamba hakujua kitakachotokea bali wameungana wanafamilia kwenye vita. Hapo mshahara utabaki wa uafisa elimu lakini atakosa yale madaraka ya uafisa elimu tu.
Baadae TAMISEMI watamrudishia uafisa elimu wake na kumuhamisha. Unajua ni kazi sana kwa mkuu wa shule aongoze staff ambayo ndani yake kuna mwl alikuwa afisa elimu!