Meshack Solomon
Member
- May 22, 2020
- 6
- 5
😂😂😂 utamuaa kwa preshaDogo kumbe ndio tabia yako leo nikirudi nyumbani nisikukute aisee
😂😂😂 utamuaa kwa preshaDogo kumbe ndio tabia yako leo nikirudi nyumbani nisikukute aisee
Wee dogo fala sana,.....naomba niwape mrejesho kidogo wakuu baada ya kusoma ushaur wenu wana jf jana shemeji yangu kanichukua hadi city center
Akanambia"S"nakupenda sana ila mbona unaonekana unamawazo sana au umepata mwingine?"
Nikamwambia shem mim naogopa Kaka akijua. akawa kama amepanik hivi "Kwahio utamwambia au achautoto S"
akasema kama nitaondoa hofu ataninunulia pikipik iwe kama kitega uchumi nimuajiri mtu kisiri Siri
Nikasema poa Tukaelekea Hotel moja inaitwa MIPA HOTEL Nasubiria niwe baba mwenye boda boja mjini hapa mniombee wadau......
"Kipunga". mwanza. Mwanza
Stupid...Habari wana Jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada
Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini
Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa
Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.
Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.
Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni
Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.
Sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.
Kaka ako atApata dhambi ya kukulainisha urojo kwa mafuta ya mgando.. Kapenda mpaka kaoa we unaleta utoto wakoooWanawake wana mitego sana mkuu mtot ana makalio hatar

kaka mtu akiunganisha dots ,dogo umekwisha usifike homeKishamwaga unga huyu...kwao ni katikati ya Ipole na Chabutwa!
Kwa maana kuwa yasingekuwa haya ungeendelea?Ila kaka ni mtata balaa pia ndio namtegemea kiuchumi sasa itakukuaje nikidakwa.....
Haswaa.Mpaka hapa kaka yako ameshajua umemla mke wake usifikiri yeye haingii humu. Ni swala la kuunganisha dots tu anajua hii stori inamhusu. Jiandae kwa yajayo.
Habari wana Jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada
Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini
Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa
Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.
Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.
Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni
Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.
Sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.
Kula mzigoHabari wana Jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada
Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini
Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa
Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.
Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.
Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni
Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.
Sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.