Mke wa kaka anataka tuendelee

Mke wa kaka anataka tuendelee

.....naomba niwape mrejesho kidogo wakuu baada ya kusoma ushaur wenu wana jf jana shemeji yangu kanichukua hadi city center

Akanambia"S"nakupenda sana ila mbona unaonekana unamawazo sana au umepata mwingine?"

Nikamwambia shem mim naogopa Kaka akijua. akawa kama amepanik hivi "Kwahio utamwambia au achautoto S"

akasema kama nitaondoa hofu ataninunulia pikipik iwe kama kitega uchumi nimuajiri mtu kisiri Siri

Nikasema poa Tukaelekea Hotel moja inaitwa MIPA HOTEL Nasubiria niwe baba mwenye boda boja mjini hapa mniombee wadau......

"Kipunga". mwanza. Mwanza
Wee dogo fala sana,
KAMA ANA MWIBIA KAKA YAKO ANA KUNUNULIA BODA BODA,

Je kwa vidume wengine kitaa??
 
"Mlingilili"sidhani kama ni *Mringiriri"

Wanyamwez hawatumii 'R' , ila umenukumbusha mbali huyo jamaa alikuwa anapatikana maeneo ya kiloleni tulikuwa tunenda kuchek movie enzi hicho kwenye kibanda umiza chake
 
Habari wana Jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada

Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini

Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa

Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.

Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.

Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni

Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.

Sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.
Stupid...
 
kama kaka yupo JF,tayari umejulikana ,ulichokosea ni sema 'kabila lake' ,'tukio harusi huko tabora' akiunganisha dots umekwisha
 
Mpaka hapa kaka yako ameshajua umemla mke wake usifikiri yeye haingii humu. Ni swala la kuunganisha dots tu anajua hii stori inamhusu. Jiandae kwa yajayo.
Haswaa.

Kataja Sikonge, kuhudhuria sherehe na shem, kabila la shem (mbulu)...
Wala haisumbui kuunga dots
 
Habari wana Jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada

Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini

Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa

Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.

Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.

Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni

Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.

Sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.

Aise utakuwa na moyo wa chuma, usio na utu wala huruma kwa kaka yako.....nakushauri acha kuwanae, upukana nae.
 
Endelea tu mkuu ila cku utakutana na wahuni wakafumua marinda basi ujue wazi kwamba kaka kawatuma.

Maana yuko hapa jf na details muhimu umeshatoa.

1. Kaka atagundua ww ndo alikutoa kijijini kwa ajili ya biashara zake.

2. Mke wake ni mmbulu.

3. Ilitokea sherehe ya mdogo wenu wa kike, akapewa taarifa, akaomba udhuru, akakutuma uende na shemeji na ukamla

Kujihakikishia tu kwamba ni ww atafanya tu kuuliza ni mziki gani uliletwa na je mlikua kwenye mziki na shemeji au mlitoka? Baasi.

UMESHALIWA MKUU
 
Habari wana Jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada

Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini

Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa

Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.

Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.

Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni

Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.

Sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.
Kula mzigo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom