Mke wa kaka anataka tuendelee

Mke wa kaka anataka tuendelee

Habari wana jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada

Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini

Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa

Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.

Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.

Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni

Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.

sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.
usisahau kuleta mrejesho
 
Mwangaluka bhabha!

SIKONGE SEHEMU GANI?

Disco la mringiriri ni balaaa!

DIWANI WA KILOKENI.

Usiendelee kula huyu mmbulu, una jalaani wewe mwenyewe na nduguzo hawata kuelewa,
MALAYA ATAONNDOKA, UDUGU NA KAKA YAKO UTADUMU.

inaonekana yeye ndiye aliye kutongoza......!
Nilikuaga natoka Gongoni naenda Isevya kucheza disco vumbi la Mlingiriri.
Kumbe jamaa bado yupo.
 
Ni kwambie tu ukiacha kumchakata ndio mambo yote yataharibika. Hata huo msaada wa Kaka yako utaukosa . Maana huyo shemeji yako atajihami akijua kuna kitu unataka umuharibie hivyo lazima akuwahi hata Kama huna mpango wa kumuharibia.


Cha kufanya kwa sababu ulisha gonga hata ukiacha tayari uligonga hivyo haita saidia.

Hivyo basi endelea kumla ila kwa kutumia akili Sana na inatakiwa wewe ndio umkontroo na asikuone Kama mtoto akuone mtu mwenye misimamo yako . Acha kujichekesha chekesha mbele yake . Uwe kauzu kwake ....punguza kabisa mazoea na utani kwake yaaani mbadirikie Hadi ashangae ila hakikisha unamtomba ipasavyo .

Ukifanya hivi utamfanya akuamini na awe comfortable na atakupa heshima ya hali ya juu.

Ila ukileta hayo niliyo kukataza penzi lenu halita fichika .
Ushauri mzuri sana huu
 
Naichukia JF siku hizi inavijana wenye vistori vya kugushi ,mpo kwenye sherehe ,shemeji ananzaje kusema mtoke mita hizo eti mkacheze mziki? Acha chai ndugu
Pole kwa kutonielewa
 
Ni
Mwangaluka bhabha!

SIKONGE SEHEMU GANI?

Disco la mringiriri ni balaaa!

DIWANI WA KILOKENI.

Usiendelee kula huyu mmbulu, una jalaani wewe mwenyewe na nduguzo hawata kuelewa,
MALAYA ATAONNDOKA, UDUGU NA KAKA YAKO UTADUMU.

inaonekana yeye ndiye aliye kutongoza......!
Niwelage mami wa kurugo ene kukaya tutuo
 
Habari wana jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada

Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini

Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa

Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.

Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.

Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni

Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.

sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.
Acha Uchizi. Tanzania nzima ipo ktk majonzi. Tunaomboleza kifo cha Raisi mpenda wanyonge. ww unatuletea tukupe ushauri wa uzinzi....
 
Ni kweli bora aendelee tu kula na awe na taimingi apate hata mtaji wake kisha asepe akifanya tofauti na hapo atafanyiwa visa na huyo shemeji yake mpaka atajuta kumjua
 
Ni kweli bora aendelee tu kula na awe na taimingi apate hata mtaji wake kisha asepe akifanya tofauti na hapo atafanyiwa visa na huyo shemeji yake mpaka atajutaku
Mkuu yani mtoto kadata balaa nilikuwa hajawai kunibeba kweny gari yake ila leo morning tumenda wote town yaani kakolea kinona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom