Mke wa kaka anataka tuendelee

Mke wa kaka anataka tuendelee

Habari wana Jf natumaini mko salama mojakwamoja niende kwenye mada

Mim nikijana ambae nimekulia Kijijini ila kaka akaniambia nije mjini niwe namsaidia kwenye biashara zake kweli nikaja mjini

Kaka Ameoa mwanake mzuri sana "Mmbulu" kabila. Tumeishi vizuri tuu kwa muda wa miez 6 sasa nyumbani kwetu kule kijijini ikatokea sherehe mdogo wangu anaolewa kaka akapewa taarifa na mim pia nikajulishwa

Kaka akasema hataenda yuko bize ila akasema utaenda na shemeji yako nikasema sawa kaka.

Kwel nikaenda na shemej yangu mpaka sikonge Tabora vijijini nikaelezwa kesho ndio kesha na mziki unatoka mjini mziki wa "Mringiriri" ni mziki mkubwa sana. kwa wakaz wa Tabora watanisaidia.

Sasa siku yakesha shemeji anataka tucheze ila akanambia tutoke pale home kwasabab anaona aibu ukweni

Kwel tukatoka pembeni kama nita 50 hivi mtoto kaanza kunikatia kiuno feni nikaanza kumbambia akaanza kutoa miguno nikawa nimefanya nae mapezi.

Sasa kilichonifanya nije hapa anataka tuendelee mim naogopa kaka akijua naomba ushaur wadau.
Duuh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom