Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,139
Samare please...
Mkono wa kwaheri umbuje
Samare please...
Wakikuta yamekauka na vipensi vyao!!!!hahahahahahahaha koligiiiiiiiiiiiiii
si bora wanaokunja suruali wengine wanakata kabisa zinaishia magotini!
pwenti ofu korekshen kolig!Mkono wa kwaheri umbuje
Mie ningewapa wote,zingetofautiana thamani ya madini tu!!Weee binti ndo katisha aisee japo wote ni majasiri. Kama ningepewa nafasi ya kutoa medani binti angejinyakulia bila kigugumizi
Wakikuta yamekauka na vipensi vyao!!!!
yani wanastuuuuuuuuuuuka kama wameona bata kavaa wigi vile!
Lakini bint ana akili sana ujue,hapo ametoa kiuno cha kwaheri kiroho Safi kabisa ili Mr akizingua ndani ajihakikishie unlimited service kwa X!!!!pwenti ofu korekshen kolig!
ni Kiuno cha kwaheri!
si ndo wanaokota konokono wa mtoni!
mmmmh! miss neddy nini kinakufanya upite bila hata kutoa neno? Kaa kidogo basi tunywe hata kahawa.
Au na ww unapenda kamchezo haoko?
Akiba haiozi mwenzangu!Lakini bint ana akili sana ujue,hapo ametoa kiuno cha kwaheri kiroho Safi kabisa ili Mr akizingua ndani ajihakikishie unlimited service kwa X!!!!
Hata ukiyakimbia,utayakimbia hadi lini sasa?
Mwisho wa siku utakuja kuoa tu ....!!
mi napita tu
ah saaa'naaa!
Mbavu zangu koligi!!!!