Naomba nisicomment kuhusiana na hii mada, make ni aibu ma laana!
Ni kweli nitakuja kuolewa siku moja panapo majaaliwa ila itakua baada ya maombi mengi na kuamua kwamba chochote huyu mtu alichokifanya kabla hatujaoana nitakua tayar kukisamehe la sivyo nitakua wale wa kutafuta talaka baada ya miezi sita ya ndoa.Hata ukiyakimbia,utayakimbia hadi lini sasa?
Mwisho wa siku utakuja kuoa tu ....!!
Ni kweli nitakuja kuolewa siku moja panapo majaaliwa ila itakua baada ya maombi mengi na kuamua kwamba chochote huyu mtu alichokifanya kabla hatujaoana nitakua tayar kukisamehe la sivyo nitakua wale wa kutafuta talaka baada ya miezi sita ya ndoa.
ukiona hivyo ujue huyo jamaa anapiga shughuli sana huko faragha kuliko mume mtarajiwa so mdada hata akiwa kwa huyo mme wake atakuwa anamkumbuka huyo mgane. Maana yake ni kwamba hata baada ya ndoa huyo binti atakuwa anatoroka ndoa yake na anakuja kwa huyo mgane amu update