Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

Ukimchunguza kuku sana...........

ukitumia akili nyingi sana na muda mwingi sana kuwaza haya mambo , ni kujipuinguzia furaha ya maisha.

hiyo ndiyo hali halisi ya sasa hivi , mpaka umri huu nimeshaombwa miago mingi sana na wengine hata baada ya ya ndoa wameendelea kunimendea.

zamani nilikuwa nawaza sana , ila ilifikia mahali likawa hata halisumbui tena akili yangu kwani kuikweli kuoa ni lazima kwa upande wangu.
Bestiiiiii!!!
 
Suala la kwamba mimi niliolewa na bikra au la halibadilishi ukweli kuwa kuchakachua kabla ya ndoa is illegal....usiniulize reference pliiz

ok! Lakn nilitaka uthibitisho wa kauli yako inamaana hata ww ni miongon mwa waliolaaniwa?
 
maisha yenyewe ndo haya haya!
kwan shiiiiing ngaaaap?
Halafu koligi hebu nisaidie kuuliza,huo mchepuko uliokubali kutoa dose ya kwaheri na huku unajua bidada anaolewa wenyewe ni innocent sana eeee?
 
Huyu mwanamke hafai hat kidogo
Hana hofu na Mungu
Jumatano Leo harusi
Imenisikitisha sana

sio ww tu hata mm nmemchukia sana naomba aibu hii imrudie kwa kutoswa na jamaa.
Nmetokea kuchukia gafla
 
ok! Lakn nilitaka uthibitisho wa kauli yako inamaana hata ww ni miongon mwa waliolaaniwa?

Umesoma vizuri post yangu? Mimi ndo nliwafundisha vijana kuchakachua kabla ya ndoa?
 
Umesoma vizuri post yangu? Mimi ndo nliwafundisha vijana kuchakachua kabla ya ndoa?

Best kwema?
Bidada anaaga ili akirudi kwa mechi za ujirani mwema jamaa asiwe mgumu!!!
Ndoa zenyewe za siku hizi Tia maji Tia maji!!!
 
Hata akiolewa hawezi kuacha michepuko, maadam kichwani mwake ameshaamini jamaa yake ni dhaifu ktk 6 kwa 6 jamaa ajiandae kuendelea kuchepuka na mke wa mtu mpaka atakapo oa.
 
we acha tu bestiiii....... mambo ya kukosa raha kwa lisilokusibu kisa kuangalia tu kinachoendelea kwenye jamii , imebidi niachane nayo kwakweli
That's healthy best!!
Usikunje suruali kisa tu njia ilikuwa na mto wa kuvuka enzi hizo,subiri uyafikie maji kwanza maana unaweza kukuta yalishakauka siku nyingi!!!
 
That's healthy best!!
Usikunje suruali kisa tu njia ilikuwa na mto wa kuvuka enzi hizo,subiri uyafikie maji kwanza maana unaweza kukuta yalishakauka siku nyingi!!!
hahahahahahahaha koligiiiiiiiiiiiiii
si bora wanaokunja suruali wengine wanakata kabisa zinaishia magotini!
 
Best kwema?
Bidada anaaga ili akirudi kwa mechi za ujirani mwema jamaa asiwe mgumu!!!
Ndoa zenyewe za siku hizi Tia maji Tia maji!!!

Kwema best....anaaga vizuri huyo hanyei kambi hahahahaa daaah wanawake wa hiki kizazi wana ujasiri wa ajabu.....I like them
 
sio ww tu hata mm nmemchukia sana naomba aibu hii imrudie kwa kutoswa na jamaa.
Nmetokea kuchukia gafla

Nashindwa kuelewa huo upeo wake wa kufikir upoje
Namsikitikia jamaa aliyemuoa cos huenda hajui upuzi wa huyu mwanamke na hiyo ndoa itamshinda

Huyu ana tabia ya kupenda kutiana tuu. Hana lolote na akiendelea lazima ataumbuka tu.

Mungu atasaidie kwa maana tunaweza kujiganganya tupo salama kwa wapenz wetu kumbe ni mbwa mwitu wenye ngozi ya kondoo
 
Naona bint tu ndio anapakwa black paint hapa

Weee binti ndo katisha aisee japo wote ni majasiri. Kama ningepewa nafasi ya kutoa medani binti angejinyakulia bila kigugumizi
 
Back
Top Bottom