Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

mama yangu!!........ Kumbe unapenda na ww kuagwa. Mm sijawahi kuagwa, lakn muwe makin hizo baraka mnazozitaka znaweza kugeuka kuwa mkosi badala ya kwenda kutulia unaenda kumwagwa

ukiwaza negative chochote lazima kitokee tukio lolote linajengwa na namna unavyowaza
 
jitahid mkuu yan unapigisha kwata la hatareeeeee had unakumbukwa

aya bwana tutajitahidi ila sasa mwisho wa siku tutakuwa tunagegeda wake za watu kisa bidada umempa doze ya ukweli. mwanzo wakuwekewa tego
 
Si wanawake tu hata wanaume wanafanya hayo kuna rafiki. Yangu alikuwa na mtu wake na jamaa alikuwa anachepuka tena kwenye honeymoon du nilichoka kamuacha madam ndani pyu

we ndiyo ulikuwa unachepuka naye mkuu?....watu mna roho ngumu!
 
Back
Top Bottom