Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,139
Mi ndoano zangu ni uswazi tu
Wewe tena!!!
Mi ndoano zangu ni uswazi tu
I understand..I doubt it .......!!
Mhh!! Hatari sioni maana ya hiyo ndoa anayokwenda kufunga yani hata aibu hana loh!!
Bwana Eiyer, believe me huyo dem anaingia kwenye ndoa ila hawezi acha kurudi kwa huyo jamaa yako. Mpe miezi miwili tu aizoee ndoa.
Hujambo lakini?
Sijambo mkuu! Upo mzima wewe?
ukiona hivyo ujue rafiki yako anapiga shoo ya kibabe kinoma had huyo mdada anamkumbuka eti anaenda kumuaga huhuhuhuuuuu shida hiyo
I understand..
I love being the different one, that is why I am happy doing what many people can't and still be alright and on track with my faith.
Ahsante mkuuNimekupenda bure mkuu....
Umewahi sikia "shukuruni kwa kila jambo"