Hiyo ipo sana, kuna binti alikuwa anatembea na mfanyabiashara mmnoja wilaya Fulani mkoa wa Manyara. Kuna jamaa mmoja mfanyakazi serikaalini akahamishiwa hiyo wilaya, akamuona huyo msichana ni mrembo kweli wa kimbulu, jamaa akaanza uhusiano na binti, akatangaza ndoa, hapo binti anawachanganya wote, mwisho ndoa ikafungwa na siku chache kabla ya ndoa akaagana na mfanyabiashara wake siku tatu wamejifungia hoteli mkoa wa Arusha kwa kisingizio cha shoping ya harusi. Na siku ya ndoa jamaa kakaa. high table alitoa mchango wa nguvu kama mfanyabiashara maarufu. usiogope haya yapo sana tu.