Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

Mke mtarajiwa anapoamua kuaga mchepuko ....

we naeeeeee
hebu wacha watu wadribo!
kwanza hiyo harusi yenyewe wanakamati ni mahawara wa bwana harusi
atakayeserve high table atalala hoteli moja na maharusi honeymoon!
sabkheri boo boo?

Hahahahah....
 
we naeeeeee
hebu wacha watu wadribo!
kwanza hiyo harusi yenyewe wanakamati ni mahawara wa bwana harusi
atakayeserve high table atalala hoteli moja na maharusi honeymoon!
sabkheri boo boo?

Halafu wewe ......!!
 
Aliyelala na bibi haruc cku moja kabla ya haruc wakati sio bwana haruc...bado mnanishaur haruc, hiyo haiwezekani
 
Mkuu wanawake wa siku hizi ni majanga . Sasa mwanamke kama huyo akikataliwa siku ya siku atalalamika? Wakat anamsaliti mwenye malengo naye ila anamganda asiye na malengo.
 
Hahahah....haya matukio yapo sana hata mimi nlishawahi kushuhudia kwa mtu wangu wa karibu kabisa. Alaaniwe mtu aliyewafundisha vijana kula tunda kabla ya ndoa.....haya yote yasingekuwepo

sidhan kama uko sahihi.
Vp ww hujaolewa au umeolewa?
Kama hujaolewa inamaana bado una bikra? Au kama umeolewa uliolewa na bikra?
 
sidhan kama uko sahihi.
Vp ww hujaolewa au umeolewa?
Kama hujaolewa inamaana bado una bikra? Au kama umeolewa uliolewa na bikra?

Suala la kwamba mimi niliolewa na bikra au la halibadilishi ukweli kuwa kuchakachua kabla ya ndoa is illegal....usiniulize reference pliiz
 
Huyu mwanamke hafai hat kidogo
Hana hofu na Mungu
Jumatano Leo harusi
Imenisikitisha sana
 
Back
Top Bottom