Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,782
- 21,008
Mpaka kitendea kazi kife au kinyofoke.hivi mwisho wangapi?au mpaka yeye mwenyewe aseme basi?
Mpaka kitendea kazi kife au kinyofoke.hivi mwisho wangapi?au mpaka yeye mwenyewe aseme basi?
wake 15 ndio maana anagombana na walinzi kila siku![]()
Huyu ni Mke mpya wa mfalme Mswati amemuowa siku tatu zimepita, ni moto wa kuotea mbaliii.
atakuwa ni mke wa 15.
Kwa mzee wa msoga orodha ni confidential afu tofauti na king Mswati ye hana tatizo na USEDVip msoga orodha ipoje?
Watamu kwani unawala?Ingekuwa ni nchi yangu ningeomba kazi ya ulinzi hapo kwa mfalme hata kwa ujira ili niwafaidi hao warembo maana wanaonekans ni watamu mnooo
papuchi mkuuHuyu mfamle ana abudu kupitia dini gani?
Huyu mfamle ana abudu kupitia dini gani?
lini na mimi nitakuwa mfalme jamani?